Search results

  1. Msela89

    Nafasi ya kazi ya digital account Manager

    Orgilvy Africa inatangaza nafasi ya kazi ya digital account Manager.Sifa za mwombaji ni kama zinavyoainishwa hapa chini i.Awe mwanamke ii.Elimu kuanzia ngazi ya shahada ya sayansi masoko au inayoendana na hiyo iii.Uzoefu wa kazi angalau kuanzia miaka miwili Kama una sifa zilizoambataishwa hapo...
  2. Msela89

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Nilikuwepo hii bro
  3. Msela89

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Mwanangu umekaa namba 100 we nani wew..mi nilikuwa 99
  4. Msela89

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Mandela 99 wazee wa k-unit nipo hapa
  5. Msela89

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Alikuwa anazingua kinoma noma jamaa yule
  6. Msela89

    Waliosoma Tosamaganga High School

    Oya...kininga hapa
  7. Msela89

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    MWALIMU WA SEKONDARY NJOO MBOZI NIJE DAR MORO DODOMA TANGA AU PWANI 0622 386 981
  8. Msela89

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO MBOZI MBEYA NIJE MOROGORO MJINI, DAR,DOM TANGA,PWANI 0622 386 981
  9. Msela89

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hamna mwanangu hapo ni mambo ya upepo tu si unajua
  10. Msela89

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hahaha hili si jukwaa la elimu bro..la afya sio hapa
  11. Msela89

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari wana jamvi Kwa yeyote ambae anataka kutoka dar kwenda mbeya tuwasiliane mana mi nimepangiwa mbozi nataka kwenda dar es salaam sasa kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane inbox
  12. Msela89

    Series (Special thread)

    Tafut series ya witches of the east end utaipenda
  13. Msela89

    Series (Special thread)

    Sure...sema haijaendelea kaja na designated survivor
  14. Msela89

    Msaada wa kitabibu unahitajika, haraka watoto wakizaliwa wanakufa

    Mama alitakiwa kupata sindano mbili kwajili ya kufanya rh -ve ya baba isimharibu mtoto..kama alikuwa haendi kliniki ipasavyo inawezekana hakuchoma sindano mbili akamaliza
  15. Msela89

    Series (Special thread)

    My favourite series plus live another day
Back
Top Bottom