Kwahiyo kwa upeo wako chama kikifukuza mwanachama bunge linasubiri rufaa ikatwe ndio limsimamishe/mbunge?
is it a special case for CHADEMA au ni vyama vyote? Je katiba inasemaje kuhusu Hilo, je aliyeacha chama kama Mwambe, Lijualikali na wengine bunge lilikuwa sahihi kuwarudisha watu waliojitoa...
Bwanamkubwa miaka imeenda Bado wewe ni yuleyule!! Kwani umewahi kusoma mradi wenyewe? Maana aim ya mradi ni usafirishaji wa mizigo ya viwanda EPZA ya bagamoyo
Umeandika mnoo ila umeshindwa kuainisha "uongo" dhahili, mwenzio kasema kuwa miaka hiyo mitano katengeneza ajira milioni sita!!! Na sasa anajifikilia kutengeneza milioni nane! Au hukumsikia au hukuelewa?
Wiki Tatu zilzopita walisema wana wanachama 13m kabla ya hapo miezi miwili iliyopita walisema wana wanachama 10m na Jana wanasema wana wanachama 20m! Wamechanganyikiwa hawajui Hata wanaropoka nini!
Wewe akili yako unaijua mwenyewe na si mchunguzi, unajua 2015 ulikuwa 10m against 2m aliyeshinda?
Ukondoo ulisababisha bwanayule asitangazwe, ukikoma ukondoo mshindi halali atatangazwa hata Kwa viboko!!
Matokeo ndio tegemeo pekee la CCM, wanahisi kwakuwa katiba ni mbovu watatangazwa japo wanajua huwa hawashindi, sasa ukondoo ndio husababisha mshindwa kutangazwa, ukondoo ukidhibitiwa mshindi halali atatangazwa Kwa namna yeyote
Usichojua ni kwamba 2015 CHADEMA Walikuwa na wanachama miloni nane na sasa wanao zaidi ya milioni kumi na Tatu, itakuwa wamekufa kabisa eeh? Samahani wanaCHEDEMA tunatoa siri hawa watu huwa wanaudhi malanyingine!!
Wana jamvi wasalaam,
Huku mtaani kwetu ile hoja maarufu iliyodumu takribani miaka mitatu ya kuwa upinzani especially CHADEMA imekufa imejifia na wapambe wa hoja hiyo wameingia hofu.
CCM wanajua sana kula na vipofu, kwa muono wangu nahisi waliitangaza hoja wakijua bwana Fulani hupenda kuskia...
Kaandika uongo na wewe hutumii ubongo Hata kidogo? ENL aliondoka Kwa hasira na alirudi Kwa vitisho, huyo mwandishi ni conspiracy theories zisizo na akili.
Unawaamini CCM wana thinktank mujarabu, Hata T-shirt wanaiga CHADEMA? Ningemuelewa angeongelea tume na Vyombo vya dola lakini si vinginevyo...
Wana jamvi wasalaam!
Kumekuwepo na utitiri wa "wana CCM" kutia nia kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi huu ujao wa 2020. Tafakuli fikirishi ya hao "wana CCM" JE ni kweli wako serious au wala lao jambo?
Baada ya Uchaguzi wa 2015 kila mtu alishuhudia kilichotokea, baada ya bwana mkubwa...
Sio kweli, Hata wana CCM wengi huwa hawawapigii wenzao. Isingekuwa hivyo ungeona mwakahuu kungekuwa na uchaguzi lakini it is obvious kutakuwa na "mchaguzi" sio uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.