Wamrudishe Ben kama kweli wamemshikilia.
Nimeyamiss sana matango pori yake kama vile
CDF ameuliwa kwa sumu watu tukaamini kijana akakomaa anataka kumuona CDF mahakamani akiwa hai serikali inamtizama tu aaaa ghafla CDF akatokea aisee hoja ikafa kijana wa watu hatujui kama aliachiwa ama...
Ila kiboko ya Gwajima ni Emmanuel Mbasha tu....Anamsema atakavyo lakini Gwajima hajibu hata tuhuma moja...
Labda kwakuwa alishasema anazaa na wazuri .....
Mbasha endelea kuchambua labda atajibu siku moja ..
Kwani hujamsikia kuwa walikuwa na boss Ruge tangu muda gani sijui???
Sasa alimpata wapi ?
Maana Makonda alisema atapatikana na tunapomuona amepatikana anashukuriwa Ruge maana yake sielewi tena aaahhh
Makonda alisema kabla ya jumapili Roma atapatikana na kweli kabla ya hiyo siku Ruge amemleta roma,maana yake Ruge na Makonda wanaijua hii michezo.
Ruge amemtoa wapi Roma?
Makonda angempataje Roma ambae hata jeshi la polisi haliwezi ahidi?
Unataka kumaanisha anachokisema Benny Hinny hujaelewa?
Hata the so called annointed Gwajima pia hapaswi kusema sema juu ya wengine...Rejea Yesu Kristo mwenyewe hakumsema Yuda, why daily Gwajima?
Who is he?
Hatuna watumishi wengine nchi hii wao hawapati vikwazo?
Mwalimu Mkuu Mwakasege sijawahi...
Albert Mangwea = Ruge
Roma mkatoliki = Ruge
Ruge ndie wa kwanza kuwapata na amekuwa nao tangu asubuhi......Mmmhhhhh!!!!
Wataalamu wa intelijensia mtusaidie.
RC alithibitisha upatikanaji kabla ya jumapili Kisha hasimu wa RC anawapata mateka na kuwa nao tangu alfajiri??????
Hii gemu sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.