Mkuu ahsante sana, unaweza kunisaidia kwa makadirio gharama za zote toka kuandaa heka moja ya mhogo hadi unapokuwa tayari kwa kuuzwa na pia yake ya soko ikoje. Ahsante sana
Kaogopa huyo, kama alimaanisha utajiri wa mbinguni, hivi ni kweli unaweza kuufananisha na uutajiri wa serikali? Utajiri wa serikali ni pesa na yeye alimaanisha pesa. Aaache kutufanya wote wajinga.
Acha tu akina Katambi warudi CCM, maana ni ujinga unapigwa mabomu na kulala selo sababu ya Chadema unaomba nafasi ya kugombea ubunge unanyimwa halafu anapewa jamaa aliyotoka CCM jana na mliyekuwa mnamwita fisadi na majina yote Mabaym
Nyalandu alinusa kitu kibaya mbele yake akiwa CCM kakimbilia Chadema, 2020 atagombea ubunge kupitia Chadema (Makamanda watakatwa ili yeye agombee), atakosa ubunge halafu atarudi CCM tena.
Achaneni na makapi ya CCM, jengeni timu yenu isiyo na chembe ya Lumumba, tatizo lenu mkisajili mwana CCM ndiyo anakuwa nguzo kwenu, akili ya wapi hiyo?
MTAZUNGUSHA MIKONO DAIMA NA MILELE PASIPO KUSHIKA DOLA, Badilikeni.
Mbowe alimaliza biashara 2015, ndiyo maana siku hizi wahamiaji wote wanakutana na mwenye chama ofisini kwake Mikocheni (yawezekana hii ofisi ndiyo Ufipa mpya ya Makamanda academia).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.