Salaam wadau,
Kwa wale wadau wa mazoezi naomba kufahamu Kama kuna mtu anajua Gym (Fitness Center) iliyopo maeneo ya Kibamba Dsm, kwa yeyote mwenye kujua ilipo naomba msaada wa maelekezo jinsi ya kufika tafadhali.
Natanguliza shukrani
Wadau, nataka kuagiza gari nimeingia kwenye mtandao nimeipenda Corola Spacio, sasa nimepata gari 2 ambazo kwa muonekano wa nje ni kama zinafanana, bei na mileage pia hazitofautiani sana. Tofauti ipo kwenye CC moja ina CC1800 4WD ya 2003 na nyingine ni 2WD ina CC1500 ya 2004 nataka kujua...
Nimeshitushwa na maneno ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa alipokua akiwahutubia wananchi wa Iringa kuwa Mabomba ya gesi inayochimbwa Mtwara yanaelekezwa Ulaya badala ya kuelekezwa kwa wananchi wa Mtwara. Ameeleza hayo bila kufafanua ukweli wa jambo hilo.
Source: ITV HABARI
Serikali imetoa waraka kwa watumishi wa umma unaotoa maelekezo kwa watumishi kuwa wana hiari ya kuchagua kujiunga na vyama vya wafanyakazi. Mfano CWT sio lazima wanachama wake wawe ni walimu, mtumishi wa kada yoyote anaweza kujiunga na chama chochote.
Pia waraka huo umeeleza kuwa ni hiari kwa...
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa sunday schooll usiku ni mwezi wa 3 ugonjwa umepona
Watu:
aaaaa!!(Mimba hiyoooo)
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
Alianza hivi...... "Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Muumini: "Mchungaji nimezini na wanawake wengi sana hapa kanisani...."
Mchungaji: "Usihofu...
Mlevi mmoja alikuwa akilewa sana pombe hadi kusahau kwenda Kanisani siku za ibada Jumapili.
Jana Jumamosi pia alilewa sana, lakini aliweza kuamka leo asubuhi na kuamua kwenda Kanisani huku akiwa na kiporo cha pombe kichwani, hali iliyomfanya awe anasinzia Kanisani tokea misa ilipoanza...
1. Mdada anaingia kwenye daladala na viatu vimechongoka anakukanyaga, halafu anakuuliza Samahani umeumia?
2. Kwenye msiba utakuta watu wanalia,Kwanini kafa yeye? Jamani kwanini kafa yeye?
3. Mtu anaingia kwenye mgahawa halafu anamuuliza weita,Biriani yenu nzuri?
4. Shangazi yako...
Wadau wacha nijaribu kuwaondolea stress cheki hii.......................
"kuna mwanamke aliingia duka la dhahabu,kuna pete ikamvutia akainama kuitizama vizuri bahati mbaya akajamba,akaangalia je hamna mtu aliyesikia?kamkuta mwenye duka yuko karibu yake akataka kupotezea,akamuuliza hii pete bei...
Hiva majuzi kulikuwa na kipindi kilichorushwa katika ktuo cha televisheni cha Clouds kilichohusu Ukweli kuhusu Freemasons, kwa kifupi wageni waalikwa ktk kipindi kile hakuna chochote walichofafanua wakaeleweka zaidi ya kububuja maneno tu na inavyoonekana ni kama waganga wa kienyeji wamekwenda...
NDUGU zetu Wakiristo wanapofanya ibada za kuzika wafu, huwa wana msemo mmoja usemao, ulitoka kwa udongo, utarudi tena kuwa udongo, udongo kwa udongo, na Mungu atakufufua siku ya mwisho. Maneno haya husemwa wakati padri au mchungaji anamwaga udongo au mchanga mara tatu ndani ya kaburi. Ni...
dah! Kali ya mwaka,bibi alienda kwamganga na ilikuwa hivi.
bibi:munguwana mishida yangu naitaji dawa yakuni fanya niwe shapu kwakila jambo kama enzi za ujana
mganga:bibi dawayako hai itaji malipo niutayari2 kutoka kwako hatafimbo utaacha kutumia na utakuwa mwana riadha waukwel...
Baada ya Mbunge wa Bahi(CCM) kupandishwa kizimbani kwa kosa la kuomba rushwa ya Tsh8ml kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mkuranga, Mjumbe wa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa Bw.Iddi Azan alizungumza kwa niaba ya Kamati kuwa swala la rushwa kwa mbunge huyo ambaye pia ni mjumbe...
Kwa wale waliofanya written interview ya Nationa Audit Office Sept 2011 waliambiwa kuwa Sekretariet iliamua kuita watu wengi ili iwaweke kwenye Database wale watakaofanya vizuri na litakapotokea hitaji la Auditors & Accountants(Wakaguzi/Wahasibu) serikalini bac watakua wakiitwa wale waliowekwa...
Mwalimu (wa primary) aliingia darasani;mara baada ya salamu,akawapa wanafunzi wake zoezi, na kuwaambia; "kila mmoja achukue kalamu na karatasi na amchore Tembo", kila mwanafunzi alitingwa na zoezi hilo. Baada ya kumaliza, akaanza kupitia dawati moja baada ya lingine;kwa tahayari,akamkuta...
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani. kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji.
Baada ya maakuli na wakati vinywaji
vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.