Wenzako wana tools (Apps) za ku-automate tasks kwa kutumia akili bandia (Artificial intelligence) software,
Kwa style hii hutaweza kushundana nao.
Njoo dm nikupe akili na training.
Acha kukariri na kufikiri kwa mazoea. Kubidhiwa ikulu si kumiliki nchi.
Kumiliki nchi ni kulimiliki njia kuu za uzalishaji, mfano mafuta, madini, benki, viwanda, biashara, bima, mashamba na nk.
Picture this kwenye retail sector tu.
Kata 3693 x maduka ya mangi 10 x mapato 150,000 kwa siku x...
Kwa akili yako mbuzi umekariri kuwa kuchika dola ni kuwa na rais mchagga. Wewe ni mgonjwa mtambuka.
Kushika dola si kuwa na rais wa dini fulani wa kabila fulani. Bali ni kumiliki njia kuu za uchumi na uzalishaji mali.
Control oil and you control nations; control food and you control people. —...
Mtanyooka sana. Kama Mlikwenda na bakuli la ombaomba kuomba mkopo kwenye benki ya dunia ya mabeberu mkatakaliwa ndio msiwe Vibaraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.