Huu uzi ungekuja nao mapema kabla ya uchaguzi .. ingesaidia sana. . pia unavyoongea unaonekana umebase upande flani .. ila unajaribu kushow uko neutral
Tafuta kuku wa kisasa kwe bei ya 5000-5500 .anza kuuza kuku wa kukaanga kwanzia robo kuendelea kwa siku ukianza hata na idadi ya kuku tano mpaka kumi ..utaweza fanikiwa .zaidi .. hapo utaweza pia uza shingo,miguu n.k.. utapata mpaka 10000 kwa kila kuku ..
Habari wana jamvi … naona waziri hajakurupuka yupo sahihi … na ndio anaonyesha makucha halisi ya tawala yetu … kawaida hata kabla hajatamka haya … kupata passport kwa mtanzania wa kawaida ni kitu kigumu sana!! .. wengine wenu humu mnaweza kuwa mashahidi ! mtazamo wangu binafsi ni kwamba ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.