Kwa sasa hakuna mbegu inayozidi SARO 5 utadanganywa bure hata mimi nilikuwa nalima hizi za kienyeji naishia gunia 12-18 kwa heka ila mwaka huu SARO 5 imetoa si chini ya gunia 25-28 debe 7 bila kutumia mbolea
Wakati mwingine tujaribu kujifunza,nenda mwambao wa ziwa rukwa anzia kilidai hadi mtowisa ukitunza heka moja isipotoa gunia 20-30 itakuwa maajabu tatizo watu mmeshazoea kupata gunia 5 ukiambiwa habari za gunia 30 unahisi unataka kupigwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.