Wewe una mtindio wa ubongo. Nakubaliana na aliyesema wewe ni kigogo unataka kutuharibia. Tena ukigogo wako ni wa kulipa fadhila maana nafasi hiyo umehongwa. Kamwambie aliyekuhonga sasa wananchi wameschoshwa naye na nguvu ya umma inaamka wakati wowote. Jamani wana JF na wenzetu waliopata maafa na...
Hapo kaenda kuzuga tu. Akitoka hapo atasema ni ajili na ajali hutokea bahati mbaya pasipo wahusika kutegemea. Na baada ya kauli hizo mtamsikia kwenye ziara zake za kusukuma muda pale anapokuwa hana ziara ya nje ya nchi.
Hahahhhhhh, pole zako kama excuse yako ndiyo hiyo. Kusaidia sii lazima ni hiari na willingness ya ya mtu, na kama upo willing kusaidia unaweza kuwasaidia wakiwa huko kwao sii lazima uwabebe uwaweke kwako, na sanasana ukiwabeba na kuwaweka kwako usilaumu watakapo kushukuru kwa majungu yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.