Habar wakuu,
Pamoja na ripot ya CAG kutolewa hapo jana ikiwa na vitu vingi vya kustajabisha, nawaomba pia tusisahau mambo mengine muhimu yaliyopo katika nchi yetu kwa sasa.
Tumsikilize Prof. Kabudi alivyoionya serikali juu ya nia yake ya kutaka kubadilisha umri wa kuolewa kutoka miaka 14 hadi 18.
Habari wakuu,
Nimenunua Infinix smart 6 ya 2/64GB pamoja na kujaribu kufanya settings ili ikae 4G Haikubali ,sijajua nifanyeje ingawaje ndani ya Simu inaonekana inayo 4g kubwa zaidi laini zangu zote tigo na halotel ni 4G na hata Simu iliyopita zilikuwa zinashika 4G.
Mwenye uwelewa msaada...
Katika utafiti nilioufanya leo hii tar. 24.02.2022 Bei za mbolea zimepanda Mara dufu lakin kwa bahati mbaya serikali hadi sasa ipo kimya huku ikijua wazi kuwa Ruvuma-Songea ndio mikoa inayozalisha kwa wingi zao la mahindi kiasi Cha kuweza kusaidia Tanzania kuwa na akiba ya chakula. Leo Bei za...
Wakuu mimi ni miongoni mwa watu wanaonunua vitu online hasa Alibaba kwa bahati nzuri hadi leo hii sijawahi kukutana na kuibiwa.
Hili nalileta kwenu kwa muda huu nimeona kwenye magroup ya Whatsapp zikipita jumbe nyingi zikitahadharisha wizi uliopo huko China kwa manunuzi ya online.
Sasa kabla...
*KCWW RAM/29 1438*
Darasa ya Ramadhani, Jumatatu tarehe 24 Ramadhani 1438, sawa na 19 Juni 2017
WAJIBU WA ZAKA YA FITRI
Zakatul-Fitr ni zaka/sadaka ya lazima inayotolewa baada ya kumalizika Ramadhani, na kuingia tarehe mosi, Shawwaal/Mfungo Mosi: mara tu baada ya kuandama mfungo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.