Jamani ni bora kuwa kimya kuliko kudharau biadhara ya mwenzio wakati wewe unaishi kwa shemeji yako,au hauna hata biashara ya laki 1.
Mali ninayoiona hapo ni zaidi ya 1.3ml
Asanteni.
Hizi ni Sera kipumbavu sana
Kwa kifupi insmfanya Kijana wa kitanzania awe na akili ya kuajiliwa hadi mwaka.
Ndo maana Mimi sitaki Kazi ya kuajiliwa ni bora niendelee kuchoma maandazi na kachori
Sent using Jamii Forums mobile app
1.Frige nitakuuzia 300,000/= inagandisha vizuri sana
2.Jiko la gas nitakuuzia 150,000/=
3. Mtungi wa gas 65000/=
4.Meza ya Mable tsh.80,000/=
5.Meza 2 za chuma @1 = 40000/=
= tsh....80,000/=
6.Display ya chips 100,000/=
7.Regulator ya mtungi 40,000/=
8.Makalai ya chips yako 2
1...
Habari za jioni wadau,nauza Frege,jiko kubwa la gas,mtungi wa O-gas 15kg
Display ya chips,meza tatu za kucomelea,meza 1 ya mable, jiko kubwa la mkaa,frypan 2 (kubwa na ndogo)
Kikaangia cha chapati kikubwa cha kuweka chapati nne kwa wakati mmoja,
na sahani.
Tuwasiliane 0764464596
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.