sio uchawi lakini huo ndugu,
Nguvu alizonazo kila mtu wala sio uchawi huo
Its free power everyone have, ungefundisha tu namna kila mtu anavyoweza kuzitumia
your devil and god dwell within yourself, niwewe kuamua kuwa mwema au mbaya
watu huwa wanatengeneza tu sina hakika kama kuna app playstore ila,
Ila pia unaweza kuona kwa njia ya instagram ukapata account zinazokuwa zinapost hayo mambo
Umeongea uongo ndugu nywele na kucha hazihusiani na uchawi kama hivyo
katika uchawi tunatumia nywele au kucha sababu ndio sehemu ya mwili wa mwanadamu ambayo tunaweza kuipata kirahisi pasipo kumuumiza na tunapata dna yake moja kwa moja,
ndio maana wakikosa nywele au kucha wanaweza kuiba nguo...
Hapo Wameporora Haswaaaa
Labda Watengeneze Mitandao Yakwao Wenyewe Binafsi Ndio Wataweza
Kwanza Jambo Ambalo Lipo Duniani KOte Wao Wataanza kulidhibitia Wapi?
Mfano Mie Nina account 10 Za Gmail Sasa Kama Mimi Watadhibiti Vipiii?
Isije Kuwa NI Oparation Chinja Chinja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.