Habari wadau, nimeona BMAF wanatafuta Fin manager, naona kua nimequalify ila najishauri maana sina idea wanalipaje mishahara. Je kuna incentives nyingine? Kuna anayejua afunguke. Itasaidia kufanya maamuzi
natanguliza shukrani
habari wadau, natafuta hgirl mwenye umri kati ya miaka 20 hadi 25. Awe wa kulala, mchapakazi mwaminifu.mshahara 50,000. Mawasiliano 0655 583344
Mawasiliano
. I support stoning to death. Lakini saa nyingine watoto wanarubuniwa kwa tamaa ya pesa kama huyo gazetini wanasema siku ya kwanza alipewa buku, then jero then mia 2
tausi hiyo unaongelea maisha ya nchi za watu kipato gani utakachopata na kuweka fixed deposit ya 4-5% interest alafu iweze kukutunza. hisa ukinunua hazipandi tokea zimefanya IPO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.