Nimeisikiliza nyimbo ya Huyu jamaa inaitwa TSENA na nilichoshangaa ni kwamba humo ndani kuna Maneno ambayo yanafanana na kiswahili na baada ya uchunguzi wangu mdogo nikagundua jamaa anaongea Lugha inayoitwa Shimaore ambayo asili yake ni lugha ya Kiswahili.
Enjoy
Nimeangalia makala moja ya Africa Uncensored, inaonyesha deni la Kenya nimekua mara tatu zaidi ya Deni ambalo Mwai Kibaki aliacha.
Makala hiyo inaeleza kwamba Tangu mwaka 2013 mpaka 2020 Deni limekua kutoka KSH 1.8 Trillion Mpaka kufikia 6.7 Trillion mwaka 2020. huu ni ukuaji wa kasi ya mwendo...
Nimesoma barua ya Aliekua Diwani wa Kata ya Kia ndugu YOHANA TIMOTH LAIZER iliyotoka tarehe 2/8/2018, Katika barua hiyo ndugu Laizer amesema
"Siwezi kuendelea kua kwenye chama kinachotupa maelekezo ya kutoshirikiana wala kutambua kazi zinazofanywa na serikali"
Nakumbuka pia Hata aliekua mbunge...
Vijana wajifunze staha kwa taifa na uongozi wake sio kukurupuka bila hoja mwaka 2014 nilimshusha Joshua Nasary jukwaani aliposema Kikwete asiende Arusha ni nchi ya CHADEMA. Tuna rasilimali chache kuwatetea mahakamani FANYENI KAZI MKIHOJI MHOJI KWA EVIDENCE NA HOJA KUNTU ifike mahali tusiwe watu...
Watanzania Tumerelax Sana.
Jaribu Kuangalia
ISACA TANZANIA
ISACA KENYA
ISACA UGANDA
Hivi Hawa jamaa tunaowaita Wezi, Je ni kweli wezi au Maopurtunisty???
Angalia wapigaji na wafanyaji.
Tarehe 16 may nilikua nafanya safar ya kutoka Dar nikiwa naelekea Tunduma Mbeya. Nilikua naendesha gar ya rafiki yangu ambae ni raia wa zambia na tulikubaliana nilisogeze mpaka mpakani yeye atalichukua kwanzia Tunduma. Katika hali isiyokua ya kawaida kwangu nimesimamishwa na askari wa barabarani...
Dah Sio mbaya nikiwashtua kwamba kuna jiwe jipya kutoka kwa watu wanaojiita district_9, Hii ni ngoma yao ya kwanza mimi kuisikia, imerekodiwa ktk studio za BHitz chini ya usimamizi wa Pancho latino na Hermy B
Ngoma ni kali jaman kwa wanaopenda hip hop.....
Download it here ---------> :A S...
Jamaaa wamechoma moto nyumba za watuhumiwa wa ujambazi.
Jamaaa waliochomewa moto nyumba zao inasemekana ni majambazi walio iba duka moja na kuua mpita njia kwa risasi wilaya ya Nyaleo huko ichage
Source: ITV
Naandika kwa uchungu sana kwani mbali ya kua ndugu yangu analipa billi kubwa sana lakini huduma ya maji hapa morogoro hususan eneo la kihonda ni ya kusikitisha sana.
Maji ya eneo hili yanatoa harufu siku zote, na pia huwezi kukuta maji yakiwa masafi hata siku moja. Kuna siku nimeamka na kutaka...
Sasa ni official hawa jamaa madaktari bingwa wagoma, amesema eet, hawawez kuendelea na kazi kwa kua hawana wasaidizi. Ni hatari sana.
Mimi ni Mzalendo bado.
SOURCE: ITV
Mimi nilikua nafuatilia kwa makini sana, nikajawa na mawazo ya kijinga mengi sana likiwemo la kuombea bajeti ya nchi yangu iingie kwenye maajabu ya dunia huenda ikasaidia kuinua uchumi!
Maajabu mengine ni pamoja na Twiga wanaopanda Ndege!!!!
So tujivunie jamani!!!!
For sure, blackberry is nice smart phone, cheap sometimes and easy to use!.
When it comes to internet service I hate BBerry because I have to pay 35000 for my phone to be connected to internet.
Is there any means I can connect internet to bb without paying monthly fee of mobile company?
Ni vema sana kusikia hata kwa kias kidogo Africa Mashariki kuna watu wanaoweza kutengeneza Vitu ambavo hapo Zamani ilikua ni ngumu kusikia vimetengenezwa Africa Mashariki.
Wailianza kutengeneza Kiira EV, gari ambayo inatumia umeme, na Sasa wanafunzi wa kitivo Cha Tekinolojia Chuo kikuu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.