Ona kwa mfano mnyika hapa:-Niliuliza maswali mawili ya nyongeza; nilihoji ni lini serikali itatekeleza sera husika kwa kuwa upungufu wa ruzuku kwa shule za umma ni kati ya vyanzo vya kuporomoka kwa elimu kutokana na kuathiri uendeshaji wa shule ikiwemo upatikanaji wa vifaa shuleni, na kwa kuwa...
Hata wakienda Bungeni mawazo yao hayasikilizwi zimebakiwa tu ndioo ndioo na hata hao wa ndiooo nao wamechoka hasa kuna umuhimu gani wa bunge?
Sheria zenyewe zinazotakiwa kutungwa zinapitishwa kimiujiza bado wakitaka kuisimamia serikali kina Mandege wanaweka ukuta sasa unadhani kuna nini?
Hapa hatuna rais jaman. Ina maana kama CT Scan ni $700,000 hatutaweza kununua tena hata moja?
Hii CT Scan kwani huwa inatakiwa ikae tu isifanye kazi, kwanza ni za mwaka gani hizo zinazoaribika?
Sasa mwisho wake nini kaka JK? Walimu hamna hela ya kuwalipa , CT scan bei kubwa sasa unatuambiaje?
Inapokwenda sasa kila huduma ya Jamii tutaichangia kivyake. Utakuja kusikia huduma ya askari wa doria inakatwa kwa Mwenyekti wa serikali za mitaa mara huduma ya maji kwenye bili za maji, huduma ya umeme kwenye umeme yaani sasa hivi bongo na bunge lake kila kitu ni dili tuu. K.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.