acha kuharibu taswira ya taasisi hapo unabaki na majuto wewe nsakuzi acha hizo uliapa kulinda siri za ofisi yako yaani watia aibu na kuharibu utu wako ningekuwa nakufahamu ningekuchapa mboko nyambafu!!!
Hiki chombo kina uonevu sana waliopo ndani wanajua mh.rais angefunga safari Mara moja kwenda kuona na kusikiliza majanga na kero za watumishi wake muundo wake kandamizi mno kwa watumishi wa chini ili hali wa juu wanakula pepo na ndiyo maana wengi wanakimbilia kwenye taasisi binafsi mh. Naomba...
Mukulu akisema kitu kinachofuata in utekelezaji tu sasa tulieni ndo maana kasema by 15 may wawe wamejiondoa maana anajua tarehe hizo payroll inakula kichwa automatically watu wapo kibao watajaza nafasi wenye vyeti halali
Waheshimiwa awali ya yote kwanza shikamooni!!
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwenu kwa uongozi wenu uliotukuka kwa kuiongoza nchi yetu kwa uadilifu na usawa uliotukuka ni pongezi sana kwenu waheshimiwa wangu.
Wiki Jana mh waziri mkuu ulizungumzia suala la mapato ya nchi kufuatiliwa na tra...
Scania R 520 govi lipo juu na mtoto nyuma ameanza na namba 3 h ton 35 hapo lazima achemke akiachia clutch goma linamzimikia bora aseti tu kwenye auto gear maana kona, milima na miteremko ni balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.