Search results

  1. Memo

    CCM ndio Baba na Ndiyo Mama!!

    Ndiyo, nasema kweli, kwa wwngi wetu, CCM ndio mzazi, tulizaliwa ndani ya CCM, CCM Imekuwepo zaidi ya miaka 37 sasa, Huu ni Umri wa mtu mzima..... CCM hii ndiyo iliyotufikisha hapa..... Lakini ndio CCM, baba na mama yetu, ndio wazazi hawa!!, tutawafanyaje?? Hawa ni wazazi wetu........wameilea...
  2. Memo

    Angelikuwa ni Mh. G Lema amepanda jukwaani na bastola!!

    Wakuu...angelikuwa ni kamanda Lema amefanya aliyoyafanya Rage..... 1) angekuwa yupo segerea saa hizi 2) Shimbo wa jwtz angekuwa ametoa tamko, huku vifaru vichakavu vya jwtz vikitoa moshi kwa nyuma yake. 3) yule waziri mwenye ndugu zake kule Mahale national park angekuwa ameshatukana kwenye...
  3. Memo

    Hodi hodi humu...wakaka msinitongoze.....mahalatito ....msinisute.

    Jamani nimevutiwa na mijadala motomoto..........nikaribisheni basi nijisikie raha!!
Back
Top Bottom