Ndiyo, nasema kweli, kwa wwngi wetu, CCM ndio mzazi, tulizaliwa ndani ya CCM,
CCM Imekuwepo zaidi ya miaka 37 sasa, Huu ni Umri wa mtu mzima.....
CCM hii ndiyo iliyotufikisha hapa.....
Lakini ndio CCM, baba na mama yetu, ndio wazazi hawa!!, tutawafanyaje??
Hawa ni wazazi wetu........wameilea...
Wakuu...angelikuwa ni kamanda Lema amefanya aliyoyafanya Rage.....
1) angekuwa yupo segerea saa hizi
2) Shimbo wa jwtz angekuwa ametoa tamko, huku vifaru vichakavu vya jwtz vikitoa moshi kwa nyuma yake.
3) yule waziri mwenye ndugu zake kule Mahale national park angekuwa ameshatukana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.