Kuna hatari kwamba watu waliojeruhiwa kwa risasi ni zaidi ya watatu au wanne. Mambo sasa jana amegeuza story kwamba risasi zilipigwa juu na chini kulenga miguu ili kuwaondolea waandamanaji nguvu ya kuendelea kuandamana.
Chakubanga anakubaka au huwa unampa mwenyewe?
Jifunze kuandika, unaandika herufi kubwa kwani ni tangazo la mganga wa kienyeji kutoka Rukwa?! Mazafanta.
Inawezekana keshasagwasagwa huyo coz akirudi maswali yatakuwa mengi na nchi inaweza kutetemeka maana hatakuwa tayari kusema ukweli labda iwe alifungwa gereza la ughaibuni akanyimwa mawasiliano.
Kwa Allah hakuna tajiri wala maskini, sote tu mavumbi na kwake tutarejea. Hakuna Masonic wala muinjilist kila nafsi itaonja mauti, bora kumcha Mwenyezi Mungu. Reporter wetu take care.
Jamani kama mulikubaliana kuwa mwili mmoja kwa nini simu ziwekwe secuty ?? hapo uaminifu ni zero ila simu ikiwa huru kwa yeyeyote kati yenu kutumia hiyo inakuwa pouwa kabisa. au unasemaje babu!!! je waeza mruhusu bibi akague simu yako???? hahahaha.
Muhongo ni msomi kenge kabisa niliyeoata kumuona. Ameingia na sera ya usiri. Kwamba wananchi wasipewe taarifa yoyote kuhusu chochote. Atakaeuliza ataambiwa wewe hujasoma, huna vyeti vingi kama vya kwangu.
Muhongo amekuja na jipya..kwamba hakuna kusema kwamba kuna mgao au hitilafu. Nyamaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.