Search results

  1. Memo

    Amchinja mkewe mjamzito wa miezi nane, ajisalimisha

    dah! hii ni mbaya sana.
  2. Memo

    Kondakta, na Dereva wasimulia mkasa wa mwanafunzi wa NIT kupigwa risasi

    Kuna hatari kwamba watu waliojeruhiwa kwa risasi ni zaidi ya watatu au wanne. Mambo sasa jana amegeuza story kwamba risasi zilipigwa juu na chini kulenga miguu ili kuwaondolea waandamanaji nguvu ya kuendelea kuandamana.
  3. Memo

    Hatimaye Ndugu wa Aqulina Akwilini wakubali kuchukua mwili wa marehemu

    Wanataka kuchunguza kama hiyo risasi ilitoka kwenye SMG ya askari polisi au ilitoka kwenye SMG ya CHADEMA. Kwani huwajui hawa.
  4. Memo

    Unajua wanaobeba madawa tumboni wanaingiziwa kinyume na maumbile?

    Kuna watu wana uwelewa wa cockroach
  5. Memo

    Kuna Kushinda na Kushindwa; CCM Inaposhindwa Iliposhinda...

    Amechanganyikiwa huyo, usukuma ulimponza, sasa anajisemea kwamba tatizo ni CCM (team) sio Kocha. Amechanganyikiwa huyo.
  6. Memo

    Inaonyesha kuna mkakati wa kuwabebesha lawama CHADEMA

    Chakubanga anakubaka au huwa unampa mwenyewe? Jifunze kuandika, unaandika herufi kubwa kwani ni tangazo la mganga wa kienyeji kutoka Rukwa?! Mazafanta.
  7. Memo

    Inaonyesha kuna mkakati wa kuwabebesha lawama CHADEMA

    You exist while others live.
  8. Memo

    Kwa mazoezi ya Mandata niliyoyaona Oysterbay nashauri Kesho timizeni haki yenu muondoke

    Kinyume cha kufeli ni kuamka? Figo ilifeli halafu ikafaulu hapohapo....naona mkono wa sweta unakusumbua.
  9. Memo

    Kwa mazoezi ya Mandata niliyoyaona Oysterbay nashauri Kesho timizeni haki yenu muondoke

    'Mandata wengi kidogo'...rudi Shirati kajifunze kiswahili.
  10. Memo

    Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!

    Unaishi Kremia au Luthinia? Unajigeuza kenge mchana kweupe. Unaulizia picha? Unaijua mitandao ya kijamii? Kama hujui nenda kamuulize nyanya yako.
  11. Memo

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Hakuna msukuma mwenye roho mbaya namna hii....labda kama ametokea Rwanda.
  12. Memo

    Polepole are you proud of what is happening in Kinondoni?

    Chakubanga huyo sio wakumsikiliza....anakula mkia wa yohana
  13. Memo

    Chadema acheni huu mchezo hili Taifa letu sote

    Yeah yeah man
  14. Memo

    Hakuna mtu aliyewahi kutekwa na Wanausalama akarudi halafu akasimulia

    Inawezekana keshasagwasagwa huyo coz akirudi maswali yatakuwa mengi na nchi inaweza kutetemeka maana hatakuwa tayari kusema ukweli labda iwe alifungwa gereza la ughaibuni akanyimwa mawasiliano.
  15. Memo

    Mwili wa marehemu Sir Andy Chande wachomwa moto

    Kwa Allah hakuna tajiri wala maskini, sote tu mavumbi na kwake tutarejea. Hakuna Masonic wala muinjilist kila nafsi itaonja mauti, bora kumcha Mwenyezi Mungu. Reporter wetu take care.
  16. Memo

    Chato: Mtoto Yohana Bahati (Albino) atekwa, akatwa viungo vya mwili, Azikwa kwa ulinzi mkali

    Huyu jamaa ni petty leader.....hana uwezo huo.
  17. Memo

    Matumizi ya simu katika Mahusiano

    Jamani kama mulikubaliana kuwa mwili mmoja kwa nini simu ziwekwe secuty ?? hapo uaminifu ni zero ila simu ikiwa huru kwa yeyeyote kati yenu kutumia hiyo inakuwa pouwa kabisa. au unasemaje babu!!! je waeza mruhusu bibi akague simu yako???? hahahaha.
  18. Memo

    Tunaweza kuishitaki TANESCO?

    Muhongo ni msomi kenge kabisa niliyeoata kumuona. Ameingia na sera ya usiri. Kwamba wananchi wasipewe taarifa yoyote kuhusu chochote. Atakaeuliza ataambiwa wewe hujasoma, huna vyeti vingi kama vya kwangu. Muhongo amekuja na jipya..kwamba hakuna kusema kwamba kuna mgao au hitilafu. Nyamaza...
Back
Top Bottom