matapeli sann hao sio mara ya kwanza kutangaza na hutaweza jua imeishia wapi wanatangazaga halafu kimya wanajua wenyewe inaonekana wanatangaza tu ushahidi tayari wana mtu wao
malecturer walishashindikana siku nyingi wanapaswa tu kupigiwa vote of no confidence kama wanafunzi watasign ikiwa kama ile ya bunge nayo tutabaki tu mweee tunakodoa macho tutabaki tunamlaumu tu makamba hakusign kumbe mnafiki tu kama wengine
kesi ya lema iliyoanza juzi imeisha kesi ya mafisadi kama kina mramba haiishi labda judge atakuwa ameenda likizo nadhan maana haya ni mambo ya kitoto na aibu kwa serikali kwa kutufanya sisi wananchi mambumbumbu tusioelewa kila kinachoendelea
kaka umeona mbali utabiri wako sehemu kubwa utatimia cha ajabu kmbe lulu hajui umri wake ni mpaka vyeti ndo vinajua hii kesi ni danganya ***** tu watatuzugaaa then itaisha hii ndo tz bwanaaaa ina wenyeweee
i mimi sijasema shikamoo unaejiita katibu mwenezi hebu weka cv yako ya elimu kwenye hii blog hapo ndo naweza kucoment usije kuta ipo kama ile ya lusinde
mmenikumbusha phylosopher mmoja anaitwa plato yeye alisema there are people who are born with silver,gold and copper sasa tabia ya kuendelea kurithishana cheo yaonyesha wazi phylosopher huyu hakukosea aiseeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.