Chadema hawakufanya vile kwa kupenda, Ile ni kutokana na utaratibu wa kawaida uliopa kwa vile tz ni jamuhuri ya muungano rais akitoka upande mmoja basi makamo atoke upoande mwengine. Chadema wao hawana suporter ZNZ ndio wakakosa mwanachama wa chadema alokuwa msomi kutoka ZNZ ili kuchukua hiyo...
Naona watanganyika mnajikanyaga tu kuhusu huu muungano kawaza wazanzibar hawautaki nyinyi ndio mnaulazimisha. Kwawale watanganyika wenyeakili wanajua faida waipatayo kktk muungano na jinsi wanavyoikandamiza znz. Ukiona mtanganyika anapiga kelele kuhusu muungana eti unahasara kwa tanganyika basi...
Poleni sana wagalatia msokuwa na akili, ama kweli mkuki mchungu kwa ngurue kwa binadamu ni mtamu. Mgalatia gani aliwatetea cuf walipohusishwa na uislamu na hao hao ccm?. Mgalatia gani alimtetea kikwete alipoonekana ni mdini ktk awamu yake ya kwaza kabla kupambana na slaa kuwania urais? Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.