Tatizo la mtimu wenu unataka mafanikio ya fasta wanatakiwa wawe na road map kuelekea mafanikio wapitie transition period watafutefuture potential players from academy na wachezaji wasio na majina then after 3 years mtakuwa mnaongea lugha nyingine kabisa [emoji848]
Mleta mada umemuonea sana Big Ben yaani kama kuna Rais ambae hakufanya kitu kwao basi ni Benjamin William lile daraja lilianza wakati wa mzee Mwinyi kwa msaada wa nchi ya Kuwait kama sijakosea upembuzi yakinifu na michoro ilikuwa tayari hata kabla haijajulikana Mkapa atakuwa Rais alipo ingia...
Kuna maneno mengine yanafanana na ukweli na mengine hufanana na uongo tukiwa na fikra huru hivi biashara unayo weza kuwalipa wafanyakazi ukalipia kodi ya eneo la biashara na gharama nyinginezo za uendeshaji kisha ukatoa na rushwa ya 5 mil! Shisha wanavutisha shilingi 10,000/- ukiwekewa mtungi...
Nijuavyo hakuna bima bima inayolipa majanga ambayo yanatokana na nature "kimbunga" "tetemeko" "mvua" nk majanga ya moto yapo covered na ndio maana wa Canada waliweza kulipwa.
Usiifananishe India na Tanzania na wala usiichukulie poa aisee. Wale jamaa wapo level ya developing country sie itatuchukua miaka zaidi ya mia kama sio mia tano kufika walipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.