Amejitakia msiba wa mtu sio baba Yako, sio mama Yako...unaacha kazi zako unajipanga barabarani, mie bado sana wazimu huo hujanipata bado
[emoji16][emoji3459][emoji3459][emoji108][emoji1732]
Nadhani Exposure yetu na mawazo mgando, INDIA na BRAZIL ni wazalishaji wakubwa wa Sukari ya Miwa lakini nao sasa wameanza kilimo cha SUGAR BEET ..., mabadiliko ya hali ya hewa yata tuumbua sana ..sasa na siku zijazo
Zamani ilikuwa inajulikana inastawi kwenye Temperate Zones lakini Sasa kuna mbegu zimefanyiwa Utafiti zinastawi maeneo ya KITROPIKI, ukienda KENYA maeneo ya Nyandarua County wameanza kulima na kiwanda cha kuchakata sukari ya SUGAR BEET kinajengwa maeneo ya KIPIPIRI Constituency...
Hivyo ZIPO...
Sukari mitaani Hali mbaya imefika mpaka bei ya TZS 5,000/= kwa kilo moja.
Mwanzoni tulidhani kupanuliwa kwa kiwanda Cha Kilombero, kuanzishwa kwa viwanda vipya vya BAGAMOYO SUGAR, NSSF-MKULAZI na LAKE AGRO-Rufiji kuyamaliza tatizo la sukari nchini, lakini mabadiliko ya hali ya hewa Duniani...
Daah zamani nikiwaza kama wewe ila nilikuja kugundua umuhimu wa ndoa siku alipofariki Baba yangu Mzazi, kaka yangu wa kwanza alikuwa 40 years afu hajaoa, mdogo wake alikuwa around 37 ameoa tayari, basi pale msibani wazee wanakaa na yule aliyeoa ndio wanampa maagizo, na kule uwani wanapokaaa...
Huyu Mwamba alinifundisha MODERN PHYSICS....ni balaa, na broken English yake, Assuming The Car is travelling with Zero Velocities [emoji2957][emoji2957][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
R.I .P WIBONELLE, jioni ulitushibisha wanafunzi kwenye Mgahawa wako wa bei CHEO Wali Maharage TZS...
Mvua za ELNINO ni janga la Kitaifa. Hali ya miundombinu ya barabara ni mbaya kuanzia za mitaani mpaka barabara kubwa. Ningekuwa na uwezo ningefuta uchaguzi wa serikali za mitaa na kutumia pesa zake kukarabati miundombinu ya barabara. Mwaka 2019 Uchaguzi wa serikali za mitaa ulitumia bajeti ya...
Mmeshakula MSOLWA-CHALINZE NYIE??pale msosi mtamu balaaa nikiwa na gari la kazini lazima dereva nimwambie aingie walau nile mbavu za Mbuzi hata kama nimeshiba
Upo sahihi, Customer Care ni pande zote mbili, mtumishi ana haki ya kupewa customer care nzuri na muajiri wake, mfano alipwe stahiki zake kama mshahara, malipo ya likizo, etc kwa wakati, na kama ikitokea tatizo apewe taarifa mapema. Lakini utakuwa Mtumishi wa umma Kuna baadhi Yao Toka aajiriwe...
Hakuna siku nipo karibu na simu yangu kama Leo, kila niliskia meseji inaingia tu Naangalia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maisha Raha sana
[emoji3591]Nimemaliza kusoma kitabu cha mchezo wa kuigiza, kinachoitwa "Aliyeonja Pepo" kilichotungwa mwaka 1973 na mtunzi Farouk Topan, nikajikuta nakumbuka kisa cha kweli.maishani kilichomsibu Mzee flani, jina lake kapuni. Mzee huyo, yeye na mkewe wote ni Walalaheri. Wakajaaliwa kupata ghulamu...
Hallucinations hizo, hata TEJA nae akipuliza BANGI zake akabwia UNGA, nae anafikw ULAYA akapigwa Story na wanamuziki wakubwa tu...then ALOSTO ikishuka anajikuta yupo TANDALE kwa MTOGOLE[emoji1787][emoji1787]
Niende kwenye hoja Moja kwa moja. Nikiwa ni mnufaika wa mkopo wa HELSB,
Nilianza kulipa deni langu mwaka 2009 mpaka kufika 2014 nikawa nimemaliza deni langu lililoletwa kwa muajiri wangu.
Ghafla mwezi Septemba mwaka 2022 nikaona muajiri wangu ameanza kunikata deni upya tena kubwa kuliko deni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.