Watakujuaje kuwa umejiunga nao kiukweli? Ila angalia umewahi mmo kjjipendekeza kiasi kwamba tope lote ulilorusha kwa Nana Ado limerudi kwa unayemfagilia.
Tukichukua tu theluthi ya maoni yako dhidi ya unayemuombea kura na tuwapa wananchi waamue, huyu unayempigia chapuo anatolewa kwenye...
Ukifuatilia sana unaweza kuta ni ukamilishaji tu wa makubaliano ya miaka mingi nyuma. Huwa hawatoi Hapo hapo. Tunachosubiri ni makubaliano mapya ya kutusaidia yatakayoendekea baada ya Mckalister kusimama kidete.
Haswa kwa kila anayetoa kauli ya kupinga kupelekwa kwenye nchi isiyofuata sheria tumuongezee kauli zetu ili asijione yupo peke yake.
Prof Safari naye kwanza Maji Warioba na wengine. Dikteta atatoa shingo tu ili jambia lipite
Mwanzo wa hesabu ni moja wengine husema ni sifuli. Ndio kaanza hivyo. Rasmi jumuia ya kimataifa imeanza michakato ya kitaratibu na kanuni zao kuwashughulikia wezi wa kura na madikteta. Kimya kingi kinamshindo mkuu.
Matokeo ya hiki kilichofanywa na TunduLisu si ya usiku mmoja kama wanavyofanya...
Kawia ufike. Better late than never. Hamjui hizi semi au ndio kujitoa fahamu tu. Unachotakiwa ni kuiongezea nguvu hii sauti isikike eneo kubwa la nchi hii
Kwa mtazamo wako ni sawa. Si wote wenye uwezo wa kusoma uelekeo wa jambo. Kuni, mafuta ya petrol kiberiti vyote vipo eneo la tukio hata mlipuaji kaisha fika na kibiriti kipo mikononi na njiti ipo vidoleni. Kinachosubiriwa ni uelekeo wa upepo tu.
Siku ikifika nitakuambia.
Serikali ndio wakosefu na wanahusika kwa kushindwa kufanya uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa. Upinzani unasubiri kuona Je dunia inakemea hili? Jibu ni hakuna. Sasa kilichobaki ni kusubiri muda tu Ukifika utaona hasira zao.
Muda haujafika tu tupo kama walivyo wengine. Uvumilivu huwa unamwisho. Ngomq ikilia sana hupasuka. CCM walihisi ni salama sasa hivi kila mtu anayomachungu yake watakuja kuungana na wananchi kudai haki
Sidhani kama hizo ni fikra zako kama ni zako nawe usingesemea wazungu na kuingia kwenye fikra zao. Kwa sifa nilizonazo za kuweka kupelemba mawazo ya watu kwa maoni yao muonekano wao naweza kuwasemea watu.
Unaosubiriwa ni muda tu watu waanze kutoa ya moyoni. Upinzani wanasubiri wenzao kutoka CCM...
Utakuja kuzikana hizi mizaha unazoandika. Kimya kingi huwa kina mshindi mkuu. Na Mungu yupo na wenye subira kwani huvuta heri.
Uonevu unazidi tamalaki nawe unauona usizani utaendelea kuvumiliwa kusubiri wazungu.
Hayo huwa hawaangalii watu waliochafukwa robo na uonevu. Siku ukiacha kujikomba na akili za kuona uovu zikikurudia utafanya uamuzi.
Mie sijakamatwa ikitokea nitafurahi kupata prison graduation.
Kwa kuwa wewe ni mwizi au jambazi tapeli ukienda kule utaona shida.
Utawala unapata shida sana kwa...
Nikionacho kwani ni ile hali aisikiayo mtu pale mwenzie asagapo tofali. Huhisi kama meno yanapata shida lakini msagaji yupo na Furaha. Mdude huo mchezo anaupenda hasa pale anapoibainisha bayana uovu wa serikali kuonea wananchi wake.
Mdude anaungana na wanasiasa nguli duniani waliofungwa kwa...
Lisu anajipanga kumhutubia waziri wa mambo ya nje wa marekani Pompeo. Siku hiyo ndio dunia itafahamu kuwa Tanzania haijafanya uchaguzi toka 2015 na viongozi waliopo ni care taker hawana uhalali.
Nafikiri katoa Maelezo mazuri ya kueleweka na kukubali kuwa wamefukuzwa na si wanachama wa chadema.
Kauli hii naimithirisha na upepo mkubwa wa kuweza kuinua lilekoti la muapishaji na kumfunika usoni huku likiacha aibu zake wazi. Nafikiri muapishajj achutame tusiendelee kuona mambo yake ni aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.