Search results

  1. mcrounmj

    Biashara ya dhahabu last season will be On June 2024

    Nianze kwa kusema 'much respect to you all hustlers'. No matter what you're going through.... but you're the future billionaire. Hiyo ni salamu yangu kwenu watafutaji mliojipata, ambao hamjajipata na mnaamini katika kesho. Uzi huu ni mwendelezo wa nyuzi nne zilizotangulia zikielezea mapambano...
  2. mcrounmj

    Hatimae amepatikana nyonga mkalia ini na mahabuba wangu

    Habari zenu wakuu. Nimewiwa kuwasimilia safari yangu ya mahusiano hatimae kuja kumpata aliyesubiriwa kwa miongo kuwa Mrs A. Mimi ni aina ya wale vijana wa kiume wanaoamini kwenye kujitafuta kwanza kiuchumi kabla ya kuingia kwenye majukumu ya familia. Ninazo ndoto za kuwa na familia bora, watoto...
  3. mcrounmj

    Mrejesho; Biashara ya madini ya dhahabu... fourth season

    Wakuu, hongereni kwa mapambano ya hapa na pale katika kuutafuta mkate wa kila siku, pengine kutengeneza ziada ya kufaa kesho. Mniwie radhi kwa kuwa niliahidi kila baada ya miezi sita nitakuwa nadondosha mrejesho wa mahali nilipo katika safari yangu kwenye madini. Nikili tu kuwa mambo yamekuwa...
  4. mcrounmj

    Mrejesho biashara ya madini 'third season'

    Salam zangu na zisambae kwenu nyote. Matumaini yangu mu buheri wa afya tele, na hata walioteteleka mwenyezi Mungu awajaalie wepesi wa kupona haraka. Ahadi ni deni. Nami tangu nimeanza mbio zangu za kibiashara kwenye madini ya Dhahabu nimekuwa na tendency ya kuripoti wapi nimefikia kila baada ya...
  5. mcrounmj

    Wizara ya ujenzi na TANROADS mko wapi? Barabara ya Tunduma - Sumbawanga ni kichefuchefu

    Hayati Magufuli aliwasema siku anazindua barabara hii. Barabara ya urefu wa km150 ina zaidi ya bams mia mbili kidogo!! Mhandisi aliyesimamia ujenzi huo hafai. Bams barabarani huwekwa endapo kuna population kubwa ya wakazi kandokando. Ila kwa hii barabara unakuta bams zipo porini ambako hakuna...
  6. mcrounmj

    Usimwamini mwanamke, narudia. Don't trust any woman, they are like kids

    Wakubwa kwa wadogo salama?? Poleni na majukumu ya kusaka tonge, panapo majaaliwa tunapata wasaa wa kukutana humu jukwaani na kushirikishana mawili matatu. Ni kama miezi miwili imepita nimetokea kwenye msara mzito wa kuchukua mke wa mtu (unaweza kurejea post ya nyuma Bachelor mimi nimedakwa na...
  7. mcrounmj

    Bachelor mimi nimedakwa na mke wa mtu

    Wakuu za majukumu. Awali ya yote niseme tu kuwa nilishaapa kutotongoza mke wa mtu cozi najua mke wa mtu sumu. Basi ni kama mwezi umepita, kuna siku mwanamke mmoja ameolewa, nimemzoea kama shemeji. Nilikutana nae meneo ya baa, alikuwa amejibust kidogo, aliponiona alinifuata na kunikumbatia huku...
  8. mcrounmj

    Mrejesho biashara ya madini ya dhahabu second season

    Panapo majaaliwa ya mwenyezi Mungu tumekutana tena kwenye kikao cha wapambanaji. Wakuu wa jukwaa hili hususani vijana nawasalimu kwa Salam adhimu ya mama yetu Samia Suluhu Hassan...... Bila kuwachosha ni kuwa tangu nimeianza safari yangu ya kibiashara nimekuwa nikiwashirikisha hatua...
  9. mcrounmj

    Natafuta mwanamke wa kumuoa

    Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili.... Mimi ni mwanaume wa miaka 34. Elimu yangu bachelor, nimejiajiri. Kulingana na majukumu yangu ya kazi imekuwa ni vigumu sana kuwa na mwingiliano wa watu tofauti tofauti. Hivyo kuniwia vigumu kumpata mwenzi wa maisha. Naamini kulingana na kukua kwa...
  10. mcrounmj

    Hata kama unafanya kazi ya aina gani sio lazima ujulikane, huo ni ushamba!

    Poleni na pilikapilika za kuumalizia mwaka twenty twenty. Jana nilikuwa kwenye usafili wa basi, kutoka mbeya kwenda mwanza. Ni safari ndefu na inachosha maana ni zaidi ya msaa 18. Kabla sijaenda kwenye maada husika labda niseme, kuna usumbufu mkubwa mno yanaupata mabasi haya ya mikoani. Ndani...
  11. mcrounmj

    Wanawake kama Diana waliishi karne ya kumi na nane na kabla ya hapo

    Wasalaamu MMU! Matumaini yangu mko Poa. Imekuwa ni tatizo kukutana na mwanamke wife material. Wanawake wengi wameonyesha tabia njema katika kipindi cha uchumba, lakini pindi tu walipoolewa na kuitwa wake lasmi tabia zao halisi ndani ya nyumba zilijitokeza. Katika kizazi chetu na wakati wetu...
  12. mcrounmj

    Makubaliano ilikuwa tuje kukutana kwenye jarida la Forbes

    Habari wakulungwaaa! Huyu mwamba ni mhuni wangu. Kitambo sana tulisoma wote kwenye shule ya upili. Hata advance tulienda pamoja japo yeye alikuwa mchepuo wa art mi sayansi, tuliishi wote bweni moja pale Lumumba three kabla hajaenda kukaa kwenye chamber za ma prefects. Mwamba alikuwa...
  13. mcrounmj

    Usiku ulioacha alama kwenye maisha yangu katika medani za utafutaji

    Familia yangu ya hapa jf hi for everybody!!! Baada ya kumaliza chuo na kujikusanya vijisenti vya bumu, niliamua kuchangamkia fulsa ya kilimo cha WhatsApp kilichokuwa kinavuma kwa kipindi hicho. Nilijiunga kwenye group moja la WhatsApp la jamaa mmoja aliyekuwa anavuma huko insta kama bikira wa...
  14. mcrounmj

    Kila mtu apate haki yake kulingana na alichokitenda!

    Wasalaam ndugu zangu wanajf wote! Siku zote mwanafunzi akifanya vizuri hupongezwa kwa kupigiwa makofi au kupewa zawadi. Vivyo hivyo kwa mwanafunzi akifanya ujinga huadhibiwa kwa viboko ama adhabu nyingine. Hii inaitwa stahiki au malipo ya alichokifanya, yaani ukitenda wema haki yako ni kulipwa...
  15. mcrounmj

    Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 ni mwaka wa kuiadhibu Serikali iliyoko madarakani

    Ni matumaini yangu wajumbe mko Poa mkivuta upepo mwanana. Ni miaka mitano tangu Serikali dhalimu ya awamu ya tano iingie madarakani. Pamoja na mambo mazuri ambayo yamefanyika katika awamu hii, yapo mambo ya kijamii ambayo eidha yamebakia palepale au yamerudi nyuma hatua kadhaa. Mishahara ya...
  16. mcrounmj

    Tundu Lissu na Godbless Lema wapinzani pekee waliosimama kidete!

    Hi great thinkers wote. Awali ya yote niwashukuru memba wa jukwaa hili kwa kuendelea kuleta maada moto kuelekea uchaguzi mkuu octoba 2020. Tumeshuhudia kipindi kigumu mno cha siasa za upinzani. Kama ambavyo watawala wa nchi hii walikuwa wamedhamilia kuupoteza upinzani. Wapo waliofungwa...
  17. mcrounmj

    Hebu tujaribu kufikiri, huenda tukawa akina Einstein wa sasa

    Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day. Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x...
  18. mcrounmj

    Kumsaidia ndugu kwa kinga ya kusaidiwa utakapofilisika ni mawazo duni

    Wasalaam wakuu wa jamii forum. Kipekee kabisa nipende kutoa pole kwa familia ya Hayati Mzee Mkapa na Watanzania wote kwa ujumla kwa msiba mzito na mhimu kwa taifa. Pamoja na huzuni na majonzi kwa familia na watanzania lakini lazima maisha yaendelee. Leo napenda ku-share nanyi jambo nimeliona...
  19. mcrounmj

    Mrejesho: Biashara ya madini aina ya dhahabu

    Habari za mda huu mabilionea wa sasa na wajao. Tumaini langu mnaendelea vema na harakati za kutimiza ndoto zenu. Ni kama mwezi nilikuja kuomba msaada kwa wajasiliamali wenzangu juu ya biashara ya dhahabu. Nishukuru watu walitoa uzoefu wao, wapo walionitaadhalisha juu ya songombingo zilizopo...
  20. mcrounmj

    Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Wadau poleni na swaumu mulio katika mfungo wa mwezi wa Ramadhani. Napenda kujulishwa kwa mwenye uzoefu biashara ya dhahabu inalipa vipi kwa mtaji wa million 5, tahadhali za kuchukua dhidi ya utapeli, vibali vya biashara na maeneo ambayo yako suitable kwa hiyo biashara. Natanguliza shukrani...
Back
Top Bottom