Siyo kweli mkuu. Kuna namna ulikosea ndiyo maana ilikuchapa adi ukachanganyikiwa. Pengine uliingia kama kwenye kilee kilimo cha Whatsapp. Kila kitu kinahitaji utulivu wa akili na kuendelea kujifunza huku una practice. Ili upate matokeo yenye tija kwenye kila utakachoanza kukifanya kwa mara ya...
Kweli mkuu.... Mfano huyo anayefananisha uchimbaji na kubeti, ni vitu viwili tofauti ni kama mbingu na ardhi. Kubeti imeegemea kwenye bahati, ila madini yapo kwenye fact na reality. Million 50 huwezi kuiwekeza sehemu ambayo hujapima na kujua uwingi wa dhahabu wa sehemu husika. Yaani kuna maabara...
Nianze kwa kusema 'much respect to you all hustlers'. No matter what you're going through.... but you're the future billionaire. Hiyo ni salamu yangu kwenu watafutaji mliojipata, ambao hamjajipata na mnaamini katika kesho.
Uzi huu ni mwendelezo wa nyuzi nne zilizotangulia zikielezea mapambano...
Usibishe mkuu...sema hujawahi ona ila wapo. Mimi yupo mwamba namfahamu, kipato chake chaweza kuwa 100ml+ kwa mwezi. Yuko kwenye 35+. Hajaoa, na amezalisha wanawake tofauti....saivi anatoka na ma super star kina mobeto nk. Yaani kiufupi wapo sana tu.
Hichi ulichoandika mkuu siku zote kitazidi kuturudisha nyuma ama kutudumaza. Acha ukweli usemwe. Tukianza kubembelezana na kutafutiana lugha laini, kamwe hatutasonga na kuuaga umasikini. Siku zote ukweli mchungu na unauma vibaya mno, lakini hatuna namna lazima tuunywe. Unapowaona Israel...
Habari zenu wakuu. Nimewiwa kuwasimilia safari yangu ya mahusiano hatimae kuja kumpata aliyesubiriwa kwa miongo kuwa Mrs A.
Mimi ni aina ya wale vijana wa kiume wanaoamini kwenye kujitafuta kwanza kiuchumi kabla ya kuingia kwenye majukumu ya familia. Ninazo ndoto za kuwa na familia bora, watoto...
Mkuu ilibidi nitafute kwanza maana nilijaribu kidogo tu kabla ila wale waliokuwa wanajiona magwiji walinipiga bit na kutishia kuniitia police
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Asante sana chief.... kikubwa nimepata mtaji na uzoefu, expectations zangu ni kufanya vizuri zaidi next season. Over approximation imetokea baada ya mimi kuwa nachukua sampo pale kwenye rundo ikanidanganya. Sampo ya mkemia ilitoa mulemule
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Timoth93, raslimali, okey, klinbritetz, Luck Good, CHIEF MASALAKULANGWA, Red Giant, Danpol, Hon Nkundwe, Napoleone, Nasibunduki, dungula, Jibala, mkuje wakuu
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.