habari yako? kodi inategemea na eneo na ukubwa wa apartment, bei kama alivyo sema uyo jamaa ni Laki 4 mpaka 6,unabidi uende ofisi za nhc na kusema sehemu unayo taka e.g posta then wanakupeleka ukaangalie, lakini mi naona bora unaenda apartment za watu binafisi wengine unanunua kabisa kipande cha...
yani we acha mimi ni hivyo hivyo nimemaliza hospitali zote lakini wapi kuna hospitali hapo magomeni nilienda wanashughulika na mambo ya allergy and wanaku hakikishia unapona kbs lkn wapi wanataka ukienda pale ni kazi kununua midawa kwa midawa na masharti ya vyakula, mi ilinianza i think nilivo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.