n
Next to Mwembeni towards Nyasho kuna shule inaitwa Azimio (SDA), next to it kuna Musoma (Muslim) Primary School. Kwa hiyo kwa mji wa Musoma karibu kila dhehebu lilikuwa na shule yake ya msingi.
TRA kama wanaona Dr. halipi kodi na wanazo data sheria iko wazi, waende mahakamani. Halafu huko ndio wataona kitim tim cha CDM. Na kwa hakika TRA hawawezi kufanya hivyo watabakia kusema sema tu kwenye magazeti yao ya kifisadi...:dance:
MkamaP, naona wewe huna tofauti yoyote na wale wanaoitwa "Wazee wa DSM" waliokuwa pale Diamond Jubilee. Kwa hiyo siwezi kubishana/kushindana na wewe, period
Mbona kwa Wabunge na wafanyakazi wengine wa serikali kama BOT, TRA, n.k. unawezakana, iweje usiwezekane kwa wengine? Mbunge anapata posho ya kikao kwa siku ambao ni almost sawa na mshahara wa KCC na ananalamika hautoshi. Wa-Tz tusiwe wavivu wa kufikiri. Tanzania yenye neema kwa wote inawezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.