Dusangize inkuru yawe, gusa ujye unibuka ko niba byakubaho,hari uko ukwiye kubigendamo.
Kenshi,mu isi ya none,byaragaragaye ko hari abantu bakorana imibonano mpuzabitsina n'abantu bataziranye,cg se abo baziranye ariko badafitanye umubano uganisha ku kuba bakorana icyo gikorwa.
Ibyambayeho...
Bisi 100 zitwara abagenzi zari zitegerejwe zarahageze
Ni Bisi zije nyuma y’uko mu kwezi k’Ukwakira hari herekanywe izindi bisi 20, na zo zahise zitangira gutwara abagenzi mu Mujyi wa Kigali, mu gihe hari hagitegerejwe izindi 100 zagombaga kuzanwa na Leta.
Minisiteri y’Ibikorwa Remezo...
Bamwe mu baturage bo mu Murenge wa Muringa ,Akagari ka Muringa , mu karere ka Nyabihu, basenyewe n’ibiza , bavuga ko bamaze imyaka itanu basembera bityo bakaba basaba ubufasha.
Bamwe mu bavuganye na Radio/TV1 , bavuga ko bari bafite inzu n’imirima ariko biza kwangizwa n’ibiza bityo kuri ubu...
Watu 2 wenye uhitaji, zipo decoder mbili mpya. Wahi ujipatie kwa shs elfu 50 tu. Kufanyiwa installation na kifurushi, ni maongezi.
Zipo Dar Es Salaam/Tabata-Mwananchi.
Zitakuwepo tu ndani ya siku tatu tu.
Heri wakuu.
Mwenye uzowefu na hiyo box,
Najaribu kuweka simcard,inaisoma lakini haiwezi kuconnect internet.
Tafadhali anaeijua,naomba anijuze shida yaweza kuwa nini
Kwema wana JF.
Kama kuna mtu yupo humu,anaefanya kazi Busweru wilayani,au ana mtu wake huko,naomba anisaidie namba tafadhali.
Kuna mtu namtafuta huko,na namba alokuwa akitumia haipatikani kwa mda sasa.
Natanguliza shukrani
Ni tumaini langu wote hamjambo.
Nina shida na namba ya RPC Mwanza. Kwa yeyote anayeweza kunisaidia, natanguliza shukrani.
Au kama kuna mtu anaelewa, ni kitengo gani cha kushughulikia askari polisi tapeli.
Ni tumaini langu wote mu wazima wa afya.
Kama mada ilivyo hapo juu,leo nimekuja kuomba msaada.
Nina ndugu,mwana mama mtu mzima. Kwa mda wa miaka 10 sasa,ana tatizo la kuanguka. Kwa siku inaweza tokea zaidi ya mara tatu. Na si kwamba ni kila siku,inaweza ikapita hata wiki au wiki mbili. Na si...
Habari wana JF.
Natumaini mu wazima wa afya.
Kama kuna mtu anawafahama watu wanaouza nazi mikoa ya kusini, naomba aniunganishe nao tafadhali. Kuna mtu anahitaji kufanya biashara kwa kutoa nazi huko na kusafirisha.
Asanteni
Neno Corona, hakika sitakuwa nimekosea nikisema linatawala vinywani mwa wanadamu kwa sasa kuliko maneno mengi tunapoongelea magonjwa ya mlipuko. Hii imetokana na uzito wa maradhi yenyewe, hasa kwa vifo vinavyotokea kila dakika ulimwengu mzima kufuatia mlipuko wa ugonjwa huu.
Kuna badhi ya watu...
Habari zenu Wakuu, ni tumaini langu hamjambo.
Napenda nijuzwe, yeyote anayefahamu njia za kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa, naomba anielekeze inavokuwa.
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu.
Nimekuwa nikipata tatizo siku za hivi karibuni(ambalo limekuwa ni geni kwangu).
Nikiinstall MS Office,napata message hii :"Microsoft Setup Bootstrapper has stopped working". Wakati mwingine naformat zaidi ya mara moja,na nafanikiwa kuinstall office. Mwanzoni sijawahi kuwa nalo...
Habari wakuu.
Nimekuwa nikipata tatizo siku za hivi karibuni(ambalo limekuwa ni geni kwangu).
Nikiinstall MS Office,napata message hii :"Microsoft Setup Bootstrapper has stopped working". Wakati mwingine naformat zaidi ya mara moja,na nafanikiwa kuinstall office. Mwanzoni sijawahi kuwa nalo...
Heri wanajamvi. Ni tumaini langu mu wazima wa afya.
Nahitaji msaada.
Nina mteja,anatumia Printer ya HP Laserjet 1320. Machines zake zina windows 7,8 na 10. Badhi 32bits nyingine 64bits. Nimesumbuka sana kuiinstall kwenye Windows 10 64bits, maana ports za USB au DOT4 zilikuwa hazionekani,sikukata...
Mungu nikupe nini? Majuzi mwenzenu nilikuwa sehemu moja hospitalini. Nilimuona mdada mrembo kishenzi. Uzalendo ulinishinda nikaamua kuimbisha,na mambo yakaenda sawa. Ila kumuuliza kilichomleta kasema amemleta mgonjwa. Jioni hiyo simu zikafanya kazi weeee. Kesho yake narudi kwenye kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.