Search results

  1. E

    Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

    UKWELI WA WAMAREKANI NDIO HUU WASIZUNGUKE MBUYU....BBC NDIO ISHASEMA Wakumbuke kila nchi inatamaduni zake na mipaka yake ya uhuru....... Mr Makonda has] also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of...
  2. E

    Denmark withholds aid and cancels minister visit to Tanzania over human rights situation

    Tanzania haijafikia kuwa na watoto wa aina hiii kabisaa.. Hatuna...bado tunamshukkuru Mungu kwa kinachopatikana
  3. E

    Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

    DAHH inanoga kuisoma na kuilewa ila ni ndefuuu
  4. E

    Denmark withholds aid and cancels minister visit to Tanzania over human rights situation

    Bora tufe masikini ila hatutaki ushetani wao............Tuanze kukumbwa na Moto na matetemeko na sunami...Mungu anatupenda
  5. E

    Sakata la mauaji Uvinza, Kigoma: Zitto aanza kuibuka kidedea, Lugola amuagiza IGP kuwachukulia hatua vigogo wa Polisi mkoa na wilaya

    Kuuliwa watu 100 si mchezo...imekuwa vita ??? Zito ameongezea chumvi hapo...Watu mia hata vyombo vya habari mbali mbali vingeripoti yaani si suala ambalo lingekuwa kimya namna hiyo......Zito wakati mwingine akiwa anatoa taarifa zake aseme zile zenye uhalisia wa jambo husika asiongeze...
  6. E

    Uhamiaji Julius Nyerere International airport wachafuliwa kimataifa

    Mwenyeji wao alikuwa wapi..wamtaje..wanakujaje kienyeji tuu......hawa waongo...kwanza madoctor gani mashangingi hivyo?
  7. E

    Uhamiaji Julius Nyerere International airport wachafuliwa kimataifa

    Wanaijeria kwanza dunia nzima wanaogopewa, ni wababaishaji, wezi, matapeli, wabeba unga..lazima wakifika sehemu kama tanzania waogopewe..... Wakae huko huko kwao hatuwataki
  8. E

    Could ‘Mo' Dewji's empire be under threat from Magufuli?

    Kwanza kiusalama wa nchi Nchi (Serikali) haiwezi kufanya uhalifu kama huo kamwe sababu kwanza ni kuhatarisha usalama wa nchi kimataifa....na hasa ukizingatia Mo ni Public Figure...hapo ilipo habari zitakuwa zishafika hadi kwa Rais wa Marekani..Mtu kama Mo ni mkubwa si tu kwetu hadi kimataifa...
  9. E

    Kwanini nguvu kubwa inayotumika kumtafuta "Mo" isitumike kuwatafuta Ben, Azory na waliotaka kumuua Lissu?

    Tambua MO DEWJ ni public figure. kimataifa...lazima iwe hivyo...
  10. E

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kwa kweli Rais wetu kafanya makubwa sanaa.. Kila upitapo sasa hivi ni ujenzi unaendelea...Dar es Salaam kila kona Barabara ya Tandale-Sinza- Mawasiliano inajengwa Madaraja yanajengwa Upanuzi wa barabara kuu ya Ubungo hadi chalinze unafanywa Daraja Kilombero miaka yote wapigaji walikuwa...
  11. E

    Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo

    Na hao ulowataja sisi vijana hatuwafahamu ni wa enzi hizo hatutaki mazoea, bali tunataka chuo kituonyeshe ya sasa...tusiongelee ya kale....sasa hivi kimemtoa nani akapeperusha bendera ??
  12. E

    Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo

    hana lugha nzuri kabisa...lugha isiyokuwa na staha..hata kiongozi wako akukere vipi huwezi kumwambia shika adabu yako...hata kama umemzidi umri...kuna lugha ya kutumia
  13. E

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco napenda kuwapa hongera sana kwa mwaka huu hakika mmejitahidi sana katika suala la ukataji umeme hovyo...Ila sifa hizi nimpe zaidi Rais wetu, maana kama si yeye inaelekea kulikuwa na watendaji wabovu ambao bila Rais kuwa mkali wasingekuwa na nidhamu kama sasa walivyo.. Hongereni...
  14. E

    Zanzibar: Viongozi watano wa Jumuiya ya Maimamu watoweka katika mazingira ya kutatanisha

    Hizi ni hisia zangu, kuna chokochoko za kichini chini za kuchafua serikali ya Magufuli....Tundu ashapona sasa wanaanza kutafuta lingine.. Kibiti ilitoka, wakaja wa kumjeruhi Tundu, sasa wanaanza maovu mengine. Siasa hizi....Nchi za africa sijui zina tatizo gani.
  15. E

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Msikiti sio wa mtumu MUHAMAD bali ni wa Nabii Issa A.W. ambaye anathaminiwa sana kama mtume na Waislam. Pia huo ugomvi sisi viumbe wa sasa wenyewe tumeukuta. Na historia inaonesha wale ni watoto wa familia moja ndio wanaogombana na vizazi na vizazi vikawa hivyo...Ipo historia ndefu saana ya...
  16. E

    Serikali iingilie kati juu ya Ubakaji unaoendelea Coco Beach jijini Dar!

    mhhh LAKINI SIJAELEWA...huko katikati ya maji kwenye kina kirefu anakubakaje sasa...? Mnasimama vipi au kulala vipi au kuinama vipi hadi aweze kuingiza na kutoa...hebu ufafanuzi please... Maana nionavyo maji ni mengi, nyie mnaelea.. sasa inakuwaje..
  17. E

    Katika safari yangu, nilichokiona maeneo ya Pwani kinasikitisha

    Kuwa na green sio sababu ya kupunguza umasikini wao...NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK Mashamba yapo ndio ila ardhi hizo sehemu kubwaa zimeshikwa na watu ambao sio wakazi wa huko...wamenunua maviwanja, mashamba...Mimi nilitaka shamba huko maeneo fulani baada ya vigwaza ni eneo zurii kijani...
  18. E

    Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

    Kwa kuongelea kuhusu IQ ya mtu kuhusu: UFUPI : Nakataa sababu nikiangalia Wachina na Wakorea basi wao wangekuwa na IQ ndogo sana sana.. SEHEMU ULIYOTOKEA: Hii naweza kuikubali kwani hata maadili unaambiwa KATIKA ETHICS vitu vinavyo kushep wewe uwe kama ulivyo ni kutokana na: Mazingira...
  19. E

    Serikali: Kuanzia Januari 01, 2018 kodi ya nyumba za kuishi na ofisi, bei ya ardhi, gharama za elimu/afya n.k ziwe TZS

    no IV bado haijatulia iv. Mkazi yeyote wa Tanzania asilazimishwe kulipia bidhaa au huduma yeyote hapa nchini kwa fedha za kigeni. Ukiitafakari hii No. IV haija tilia mkazo kuwa ni lazima Mkazi alipe kwa TZS bali imesema asilazimishwe. Ikiwa na maana anaweza kulipia kwa hiyari ikiwa atapenda...
Back
Top Bottom