Wakati una kipato chako heshima na utii huwa unaonekana, ukipoteza kipato ndio utajua mkeo ni gaidi kwa kiasi gani.
Inauma sana mke kukuona si lolote wala si chochote kisa tu huna mpunga.
Asee hii ni kimeo sana wadau, watu tutaishije wakat tulitegemea kupata mitaji kutoka kwenye mafao yetu !!!.
Mtu nimekaa miezi 18 bila ajira, nimeenda kufungua madai wakalipa 33% then nisubiri tena 18 month ndo niombe kulipwa yote.
Daa NSSF mlaaniwe muwe na maisha magumu sana na mteseke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.