Habari za mapumziko wana MMU!!
Mwanajamvi mwenzetu chakii amefiwa na dada yake leo asubuhi huko Machame,Moshi.
Taratibu za mazishi zinafanyika huko huko Machame.
Mungu awape wafiwa imani na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
=======================================
Habari wana JF,
Pokeeni shukrani zangu kwa kushiriki nami kwenye msiba wa mume wangu mpenzi (may his soul rest in eternal peace).
Ahsante kwa JF - Arusha Wing na wote walionitia moyo na kuniombea.
Mungu atawalipa.
Dada yangu alinitumia sms kuwa yu mjamzito nikaenda kumuona,nikajaribu kuhoji baba wa mtoto ni nani na kwa nini hawafungi ndoa? Akadai wanamipango hiyo. Juzi akanitumia sms kuwa jamaa ni mume wa mtu! Namchukia mwanaume yeyote anaye-cheat hata kama ni kaka yangu na dada anajua hilo. Nimemwambia...
Nina miaka 7 kwenye ndoa na watoto wa2. Niligundua mume wangu ana cheat akakiri na kuomba radhi. Mwezi sasa sitaki anisemeshe kwa mapenzi au hata aniguse nakumbuka kilichotokea na naona na huko alikuwa anafanya hayo hayo. Naumia badala ya ku enjoy. Nifanyeje niweze ku respond normal kama zamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.