Mbona hao wameleta unga was uni watoto wametumia Mika mama huo unga wa uji wamechanganya Mila kitu sukari maziwa Kila kitu huwezi pikia ugali na huo Michele umewekwa ladhaa ga nyama Kila kiungo unachemsha nakuweka mafuta basi wanatujua wabongo wasipofanya hivyo hautafikia walengwa Mika ya...
Mbona mawenzi hospital siyo mbali na kcmc kinachowanyima kufanya mawenzi au mountmeru kuwa rufaa maasikofu wapo kwa ajili ya jamii yote iwezekuwa na afya njema wanabuni na kuumiza kichwa serikali inamwezesha aliyedhubutu mashehe wanapenda upendeleo wa Bure hayo mahospital wanajenga waumini hata...
Mimi naona serikali ilikosea kuanzisha sekondari kila kata matokeo yake ni haya wengi Sasa wanaelewa mambo kiongozi wa serikali anawadanganya hivi watanzania bungeni walipitisha Nini spika wa bunge anasema ni makubaliano wanasheria mahakama kuu wanakiri ni mkataba sasa tujuwe lipi na je lini...
Hatujakataa mwekezaji Wala hatuna shaka na Dp world sisi serikali irekebishe mkataba mwekezaji afanye KAZI ila tatizo la mizigo kuwama bandarini liko TRA na mabenk kufanya kazi mwisho saa kumi hata hao Dp wakishusha meli Tano kwa siku shida Iko pale pale barabara vinyuu Boda zetu mfano tunduma...
Ndugu ili pesa Yako iwe na dhamani usiruhusu nchini kwako matumizi ya pesa za kigeni wageni waje na pesa zao lakini wakitaka kufanya malipo wanunuwe kwanza pesa zetu au walipe Kodi kwa pesa zetu na sisi TU export raw materials nje hapo ndipo pesa yako na uchumi wako unakuwa na kikubwa zaidi...
Unadhani mgt 2100 ni nyingi Kwa viwanda vikubwa? Kuna viwanda vya kuzalisha vyuma vinahitaji mgt 3500 kwa nchi kama ya kwetu ili tuwe na viwanda vikubwa tuwe na mgt 10000 mpaka 35000 ndiyo tutaweza hata kuuza umeme mkubwa
Ila game reserve upo upande wa Tanzania ukishapita mulongo custom watu wanavuka vizuri upande wa Uganda maduka makubwa na wenyeji ndiyo wengi na Barbara za lami wao sisi vumbi wenzetu wametupita parefu mkuu
Ule mradi sisi tunafaidi kikubwa kwa maana mto sehemu kubwa maji yamelalia Uganda maporomoko yapo Uganda sehemu yetu kidogo sana na hujui mto kagera vizuri ule mto umekaa Uganda kikubwa kwetu umekuja kuingia Tanzania kidogo alafu kule mwisho ziwa Victoria mto umemwaga maji upande wa uganda ila...
Nimeishi pale murongo kwakweli wanakijiji watanufaika I'la hapo hapo wenzetu Uganda mtambo wao nimkubwa walituwahi kutangulia kujenga kwakuwa uzalishaji umeweka jirani jirani lingekuwa sisi wenyewe tungepata kv nyingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.