Wakuu habari ya dominika!
Leo katika kanisa katoliki kulikuwa tukio la ufunguzi wa mkutano wa AMECEA uliofanyika pale uwanjani kwa Mkapa.
Kama kawaida TUMAINI TV walikuwa mubashara ilikuonyesha ibada hyo ya Misa iliyohudhuriwa na maelfu ya watu,nmebaini hichi kituo wana uwezo mdogo wa kurusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.