Habar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
Naomba kufaham ni course gan naweza kusoma inayoendana na hyo comb ya HGE?msaada kwenu jamen niko njia panda kbsa, ushauri wenu ni muhmu sana kwangu kwani utanifnya kuwa na chaguo zuri
Kwema jamen,naomba ufafnuz wa hyo program juu ,mm ni mhitim wa kdto cha sita kwa mchepuo wa HGE ,hvyo ningependa kujua ukisomea hyo program unaweza ukafnya kazi gani zaid zinazohusiana na hyo program?
Habar zenu wana jf,naomba kuelimishwa juu ya hyo mada hapo juu,mm nilishawah kurist mthan wa kdato cha nne mwka 2016 kwa lengo la kutaft credit(C) mbili za kuendlea na advance,Nashkuru mungu hzo C nilizipa cuz nilifnya masomo 6 yote ya art nikawa nimepta C 3 na D 3 pia lakin kwnye chet cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.