Imeandikwa "msiache Elimu aende zake "unafkr alieandka hyo maneno hakufkir? By the way kusoma na kuwin kimaisha ni vitu viwili tft Kwan wasomi weng ndo maskin ,na matajir wengi hawajasoma lkn wengi wao wamezngkwa na wasomi
Hahahahahhahhahh!!!!!!! Nimeipenda hii story na nimejifunza kitu pia kupitia kwako ,God bless you [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.