Nimeomba saveaTanesco tangu tarehe 17.3. Mkoani Kilimanjaro cha ajabu mpaka leo savea hajafika! Nilikuwa likizo mpaka likizo lmekwisha hakuna kitu kila ukienda unaambiwa tunakuja!
Pole na majukumu.
Mheshimiwa rais, binafsi nimefarijika na utendaji wako kwa muda huu mchache ukiwa madarakani. Ushauri wangu kwako naona itakuwa ni vyema kwako ukaanzisha account kwenye mitandao ya kijamii na iwe wazi kwa wananchi ili upate yanayojiri na ushauri pia kutoka kwa wananchi wako...
Nimeumia maana tangu 27 march nazitumia baada ya kuumia mguu lakini bado nasikia maumivu! Na nahisi ukavu kwenye magoti. Nashukuru sana kwa taarifa hii! Kuanzia leo situmii tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.