Nimeipenda hii sentence ya kuwakamata harakaharaka
Mijambazi ina boa sana watu tuna amka saa 4:30 alfajiri kutafuta maisha alafu lijitu linakuvizia getini lina kupora na saazingine yana ua kabisa, wacha ya nyang'anye bunduki harakaharakatu, tena kwa mwendo kasi.
Itakuwaje kwa wagonjwa ambao hawana ndugu wa kuwapa chakula, tafadhali jamani njaa pia niugonjwa.
Zoezi hili liangaliwe kwa kina linaweza kuathiri baadhi ya wagonjwa.
Leo hii hii nilikuwa natoka home naelekea job nikipitia daraja la kigamboni , baada ya kuvuka tu kwa mbele kidogo mida ya saa 06:9 hivi asubuhi, palikuwa na watu kadhaa wanatembea kwa miguu.
Niliwapita na mbele kidogo tena nika muona mtoto mmoja hivi mwanafunzi na kavaa flana yake ya bluu, nika...
Alimuuliza mkewake kwa haaira, Why every day when a'm getting in da house" his is going out.
Nimaneno ya jamaa mmoja katika move flani hivi, jamaa alikuwa na mtoto wa kambo sasa kwa vitendo vyake yule mtoto aliamua kutoka nje au kwenda chumbani kwake Mara tu yule dingi alipokuwa anaingia...
Maswali magumu sana muulizaji.
Labda majibu yata kuwa hivi!!!.
aa' ooh yaah, hatukufanya risk assessment before, aa, ok that 's the answer, and sorry for that.
Mnyonge hana haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.