Eneo la kiwanja linauzwa mbezi shamba (goba)eneo limeshajengwa vyumba viwili na halipo mbali na barabara pia umeme upo,bei ni kwa yule anayehitaji kwa mawasiliano piga 0785-458405
Eneo la kiwanja linauzwa mbezi shamba (goba)lina upana wa miguu 20 na urafu 15,limwjengwa vyumba viwili na halipo mbali na barabara umeme upo,kwa atakayehitaji eneo lina nyaraka zote na sababu ya kuuza ni mwenyewe anahama mji.mawasiliano ni 0785-458405
Nikweli elimu inahitajika lkn ukweli kiwango hicho ndipo nilipoishia,niliacha mwenyewe nikajielekeza kwenye biashara lkn huku pia naona mtaji unakatika hivyo nitafute nifanye tena nijipange upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.