CAF imefungua usajili kwa timu zilizoingia robo fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho ili kufanya mabadiliko kwenye vikosi vyao.
Timu zote zinaweza kuingiza majina ya Wachezaji wapya ili kuchukua nafasi ya wachezaji walioondoka kwenye klabu.
Takribani Wachezaji wa 4 wa Al Ahly kuikosa mechi ya mnyama mkali kwa mkapa,
Wachezaji hao ni
Al shahat
Ashour
Dieng
Yesser Ibrahim
Unaambiwa Bench la Ufundi la Ahly limechanganyikiwa, wanasema kuikabili simba kwa mkapa hasa ukiwa hauna key player ni ngumu sana,hasa wakivikumbuka vipigo vya...
Robo fainali CAFCL Kickoff time
Yanga SC Vs Mamelodi 30 Machi,2024 Jumamosi saa 3:00 usiku BENJAMIN MKAPA.
Hii maana yake Simba SC Vs Ahly itakuwa tarehe 29 Machi, 2024 Ijumaa saa 3:00 Usiku pia.
Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
Nashauri uongozi wa mchezaji Luís Miquissone Uuombe uongozi Wa Simba Umtoe mchezahi huyo kwa mkopo kwa timu zisizo na presha.
mfano Namungo,Singida FG,Kmc na Nyinginezo zinazoweza kumpa dk nyingi Uwanjani ajitafute mpaka Mwisho wa Msimu
Kwa presha ya matokeo na Mwenendo wa Timu ya Simba Sc...
Baada ya TFF kukifugia Kiwanja cha Uhuru Wizara pia imekifungia Kiwanja cha Mkapa
Kwa maoni yangu kinachotafutwa hapa ni kuhamishia Mechi katika dimba Amani Zanzibar ili kumfurahisha Rais Samia, usishangae mechi za ligi na za kimataifa zikahamishiwa huko.
Leo Eng magumashi, eng uchwara eng miyeyusho anaenda kukalipiwa, Kwanini unamnyanyasa dogo, hawataki unamganganiaje, kwani ni kiasi gani muache acheze masebene anakokutaka,.
Sasa apinge na ashupaze shingo, amuulize malinzi alifanzwa kitu gani..
haipendezi timu kubwa kama hii, mnakuwa na...
Yanga wameshitakiwa tena CAF, mara hii mlalamikaji ni klabu USM Alger ambao walishinda 2-1 juzi jumapili. Msimu huu Yanga inashitakiwa mara ya 3 baada ya Club Africaine na Rivers United kulalamikia vitendo vya kupuliza dawa inayosadikiwa kuwa sumu dressing room
Mara ya kwanza Yanga...
Mwanaume mmoja raia wa Zambia Arnod Masuka ameiomba mahakama nchini humo kumpa talaka ili atengane na mke wake kwa kile alichoeleza kuwa urembo wa mke wake unamfanya aishi kwa wasiwasi.
Ameiambia mahakama kuwa urembo wa mke wake Hilda Mleya unamfanya asipate usingizi kwa hofu ya kumpoteza kwa...
Niwakumbushe tu Wana utopolo katika michuano hii ya luza USM hawajapoteza mchezo wowote nyumbani kwao,
Na kingine timu yoyote iliyotembelea pale kwao imekula kuanzia goli 2 na ni timu moja tu iliyopata goli, yaani USM wameruhusu goli moja tu toka mwanzo mwa michuano hii
Mjipange vizuri...
Kocha nabi ndo mtu anaeshinikiza kwa nguvu zote kutokuondoka kwa Feisal, anajua uwezo wa Fei na anajua umuhimubwake ndani ya kikosi na anajua hakuna mchezaji anaefikia nusu ya uwezo wa fei kwa nafasi anazocheza.
Mashabiki wa utopolo acheni kumtukana fei na kumkejeli Kama msimu mzima mlikua...
Anasema CEO wa Simba, Imani Kajura;
"Timu yetu imeshatoa Bonus zaidi ya Billion 1.1 na kiasi kilichobaki ni milioni 20 pekee tena ni Bonus ya Ligi ya ndani, wewe vuta picha Klabu inalipa zaidi ya Billion 1.1 inashindwaje kulipa milioni 20 haingii akilini hilo ni jambo linalopitia mchakato wa...
Timu ya Marumo kutoka A. Kusini imewasili Asubui ya leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga.
Ikumbukwe siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari la mgeni, pamoja na kukwapua kiasi cha fedha zilizokuwamo kwenye gari ilo, halafu unafika unapewa...
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni
Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo avunjiwe mkataba.
Okwa nae anadai abaki au avunjiwe mkataba na apewe stahiki zake zote isipungue...
Wabongo tupunguze kukopanakopana hasa sisi wenye maisha ya chini
Mtu umefungua kabiashara kako mtaji umeunga unga na biashara yenyewe bado haijasimama unajikongoja, wabongo wakishaona kamechangamka kidogo, wanaanza kuja kukupiga mizinga midogo midogo, oooh nikopeshe buku ten,nikopeshe buku...
TANESCO Juzi mlitoa tangazo la katizo la umeme tarehe 14/8/2022 siku ya Jumapili ambayo ni kesho kwa ajili ya matengenezo.
Cha ajabu kutoka juzi tarehe 11 baadhi ya maeneo katika jiji la Mwanza mmekua mkikata umeme kuanzia asubui na mnaurudisha jioni. Eneo nililopo leo ni siku ya tatu mfululizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.