Bila misaada chama chake kitakosa Ruzuku na wabunge watakosa salary matokeo yake hata yeye hataweza kuita waandishi na kuyasema haya kwani chama kitashindwa kumlipa hela za kuendesha kesi
Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa dini kupitia Jukwaa la wakristo walionya mapema ila Sitta akawadharua kana kwamba hajui umuhimu wao kisa uchu wa madaraka. Na haya ni matunda ya KIBRI cha Sitta kwa Mungu,nahisi mwisho wa Sitta hautakuwa mzuri kwani kazidi kulididimiza taifa kwa kuteketeza mabilioni bila sababu kisa...
Watu was aina ya Mwanadiwani no janga kwa taifa.!! Hujui ukawa so chama wala hakina mapato yoyote?!! Viko vyama 3 na wamegawana maeneo kulingana na kukubalika kwa kila chama. Kila chama kinajigharamia ingawa lazima wajumbe kutoka kila chama wapo!! Kwa Dr Slaa anabebwa kwenye helicopter peke...
Napenda kujua kuna nini nyuma ya pazia kati ya Godfrey mtangazaji wa ITV na akina Makonda kwani tangu bunge la katiba lianze lazima awahoji karibu kila siku! Je wajumbe wengine hawaoni au wanakataa kuhojiwa?!
Samahani wadau wa JF naulizia alipo gwiji wa sheria Mzee Safari kwani pamoja na kuteuliwa kushiriki kwenye bunge la katiba,sijawahi kumwona! Mwenye habari kamili atujuze.
Unasema ruzuku itakaguliwa,ipi au unadhani ukianzisha chama asubuhi jioni unapata ruzuku?! Kumbe lengo lenu ni kuibomoa CHADEMA?!!! Mpaka hapo mmechemka kwani CHADEMA ni zaidi ya Mbowe labda mshidane na Chausta,ppt maendeleo,adc na dp. Kibaya zaidi ofs mnaleta huku mza ambako ni ngome ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.