Search results

  1. Guyton

    Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary wa Hospitali ya Selian Arusha ALMC

    Yule neurosurgeon aliyotoka Selian kwenda KCMC alipokua Selian vifo havikuepo? Unaweza tusaidia tujue mortality rate yake ilikuaje?.
  2. Guyton

    Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

    Huu ni uongo, there is no science in your context.
  3. Guyton

    Zanzibar 2020 US Ambassador to Tanzania: Maalim Seif and his colleagues should be released immediately

    Kwani v Kwani vitabu na idea ulizosoma shule ni baba yako aliandika?. Mbona haukuacha shule?.
  4. Guyton

    Zanzibar 2020 Taarifa hizi toka Visiwani Zanzibar zina ukweli?

    Wamei-block, itabidi utumie VPN ndio utaweza ku-access. Pole ndio nchi yetu hii.
  5. Guyton

    Uchaguzi 2020 Mitandao ya Airtel na Vodacom ukituma SMS “Tundu Lissu” au “John Magufuli” haiendi

    Rafiki, hii nchi ni masikini sababu asilimia kubwa wana IQ ndogo kutokana na kuzaliwa nyumbani badala ya hospitalini. Sasa mtu anatoa taarifa pamoja na ushahidi lakini mtu bado anabisha pasipo hata ku test ushahidi uliowekwa. Ni shida sana lakini ndio nchi yetu.
  6. Guyton

    Uchaguzi 2020 Mitandao ya Airtel na Vodacom ukituma SMS “Tundu Lissu” au “John Magufuli” haiendi

    Rafiki, hii nchi ni masikini sababu asilimia kubwa wana IQ ndogo kutokana na kuzaliwa nyumbani badala ya hospitalini. Sasa mtu anatoa taarifa pamoja na ushahidi lakini mtu bado anabisha pasipo hata ku test ushahidi uliowekwa. Ni shida sana lakini ndio nchi yetu.
  7. Guyton

    Uchaguzi 2020 Mitandao ya Airtel na Vodacom ukituma SMS “Tundu Lissu” au “John Magufuli” haiendi

    Wewe ndio mjinga sasa, umewekewa evidence hapo ila bado unabisha.
  8. Guyton

    Uchaguzi 2020 Kwa wapiga kura sasa ni wakati wa kutafakari zaidi

    Haya ni mawazo ya kijiweni na sehemu yake sahihi ni facebook.
  9. Guyton

    Wadi mpya Muhimbili 'hazina vyoo'!

    Kila hospitali inapojengwa huwa inakusudiwa kuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa kadhaa, ambayo huwa inatajwa kwa idadi ya vitanda yaani bed capacity. Huwezo huu ndio huwa unatumika kudesign majengo na kujua idadi ya human power. Sasa ni wazi tu hapa suala la manesi kutosha itakua shida. Na kama...
  10. Guyton

    Siri yafichuka, madaktari zaidi 700 watelekezwa mitaani zaidi ya mwaka 1 na nusu

    kaka uhuru wa kuongea kila mtu anao, lakini kwenye majukwaa makubwa kama hili ni vizuri ukajiribu kutumia uhuru wako kuongelea mambo unayoyafahamu japo kidogo, vinginevyo utaonekana darasa la saba au hujaenda darasani kabisa, kumbe pengine ni msomi wa levo ya degree. Ngoja ni kuelimishe kidogo...
  11. Guyton

    Siri yafichuka, madaktari zaidi 700 watelekezwa mitaani zaidi ya mwaka 1 na nusu

    mkuu ni kweli, hospitali za private nazo zina haki ya kuwatumia madaktari waliopo, lakini ilitakiwa kuwe kuna ugumu kwa hizi hospitali kupata hawa madaktari, na hivyo zingekuwa zinalazimika kulipa mishahara mikubwa hili kuvutia madaktari. Tatizo lililopo hapa ni kuwa, serikali inatumia nguvu na...
  12. Guyton

    Siri yafichuka, madaktari zaidi 700 watelekezwa mitaani zaidi ya mwaka 1 na nusu

    Sina uhakika na huo muda, lakini idadi yawezekana ni sahihi. Ni kweli kuna idadi kubwa ya madaktari waliomaliza mafunzo yao ya vitendo (internship) na wametelekezwa na wizara ya afya, na mbaya zaidi wengi wao wameanza kuingia mikataba na hospitali za privates baada ya kuisubiri wizara na kuona...
  13. Guyton

    KUTOKA BUNGENI: Mwanafunzi mmoja adaiwa kufariki nchini India

    Lakini ndg zetu nao wapunguze pombe, wasome shule warudi nyumbani. Kwa wale ambao hawajafanikiwa kuona taarifa iliyoripoti tukio hili, waweze tazama hii link.
  14. Guyton

    Serikali kuzifunga akaunti zake kwenye benki za biashara na kuzipeleka Benki Kuu

    kabla ya kusifia, kuna mambo mawili makubwa ya kuyatizama na kuyajadili 1. Selikali kuu imeamua kukopa fedha kutoka kwenye mashirika yake ya umma 2. Serikali imeamua kuyatoa mashirika yake ya umma kutunza fedha zao (savers) kwenye benki za biashara mosi, nampongeza raisi Magufuli kugundua kuwa...
  15. Guyton

    Zanzibar elections: Letter by awadh Ali Said Advocate of the high court of Zanzibar

    I think the article comprises more of the arguments than interpretations, and most of them sound logic. Rather than giving a simple answer as such, it is better to tell the forum why do you think the article is more of interpretations, then show to us how those interpretations sound more...
  16. Guyton

    Kitila Mkumbo: Ndalichako amekosea

    Hivi huko UDSM kila mtu akina senior lecturer anapewa u-professor ? Mbona naona utitiri wa maprofessor lakini wengi wao ni wakawaida sana, na yule mnamuita Dr Bana sijui, mmeshampa u-professor?
Back
Top Bottom