Wakuu,
Kamanda mpya bw. Ole Millya amesema 'kwa wale wote ambao tulipanda hili gari pamoja (CCM), limekua likiharibika na kupata pancha sana, pia halitoi matumaini kwetu na kwa watanzania, nawaombeni tuhamie gari jipya CHADEMA kwani linatoa matumaini kwetu na kwa Watanzania wote, karibuni'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.