Mwezi uliopita kapunguza zaidi ya half of his employees tena wameondoka bila malipo. Watu wapo mtaani tu wanasubiri malipo hakuna huku yy anatoa misaada kwenye michezo
Kwa mtazamo wangu mdogo naona haiingii akilini kwa RA kuchangia YANGA million 200 na Taifa stars Milioni 30 wakati wafanyakazi wako hujawalipa mishahara kwa zaidi ya miezi 8. Kwangu me naona ni kutafuta kiki za kisiasa.
Ni sawa na kuwashindisha njaa watoto wako nyumbani kwa malengo ya kuweka...
Tusub
iri wahusika waje watoe ushahidi wa hiili andiko kabla ya kulicriticize! Huna haki ya kucriticize kama huna taarifa za kutosha. Remember....No research no right to speak!
Mauzo ya sasa ni same as befeore why now washindwe kuwalipa watu hela zao? Matangazo wanapata na hela zinaingia ila hazionekani zinapotelea wapi. Labda wameanza kampeni mapema hivyo priority ya mapato kwa sasa ni kampeni wenye kampuni warudi bungeni 2020 who knows??
Kumekuwa na malalamiko ya kutokupatiwa mishahara kwa wafanyakazi wa kampuni ya NEW HABARI . Yaani kulipa watu stahiki zao imekuwa ni suala la huruma ya mwajiri kwa kigezo cha kampuni kutokuwa na hela. Inawezekana vipi kampuni isiwe na mapato ilihali biashara inafanyika bila shida yoyote...
Nadhani huu sasa ni mgao tena wa nchi nzima. Shame! nilidhani tulishamaliza hili tatizo kumbe bado tunalo. Tena linakuwaga kipindi hikihiki cha joto kali
Kumekua na mfululizo wa matukio ya kukatika kwa umeme Dar es salaam tena bila ya notice. Je mgao umeanza kimyakimya? Mbona mnataka kumtia doa Mh Rais wangu ambaye kwa nguvu na kauli zake alituahidi kuwa kero hii tutaisikia redioni tu. Mkumbuke kuwa Mamlaka ya hali ya hewa wameshatoa angalizo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.