na Mwl Matete - MUST
Nipende kuchukua nafasi hii kuwashukuru sana wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Rorya kwa kazi kubwa waliofanya kutuletea mshindi ambaye kwa maoni yangu ni mtu sahihi kwa wakati huu. Kura ya maoni iliyofanyika wiki iliopita ni wazi kuwa hata wajumbe walichoka siasa...
Uteuzi wa Wenje kuiwakilisha ya CCM.
Katika hali ya kushangaza tofauti na jadi ya CCM kujiamini lakin mwenyekiti wa Wilaya CCM ndugu Charles Ochele alikuwa mtu wa karibu na aliyenunua mamluki katka kufuatilia uteuzi wa Chadema Rorya uliokuwa na mvutano mkubwa kati ya Wenje na Owawa.
Akiwa...
*KURA ZA MAONI CCM-RORYA: HUENDA UKAWA NI WA UKABILA/UTARAFA DHIDI YA RUSHWA*
na Mwl. Chacha Matete
Idara ya Elimu ya Ufundi - MUST
Moja ya ahadi za mwana TANU ambazo mwana CCM anapaswa azifahamu ni ahadi namba nne (5) inayosema *rushwa ni adui wa haki, sitopokea wala kutoa rushwa*. Hii ahadi...
U-NYANCHA, U-SUBA, U-GIRANGO NA U-LUO-IMBO UNAVYOITAFUNA JIMBO LA RORYA
Na, Mwl Chacha Matete
Idara ya Elimu ya Ufundi- MUST
Nianze kwa kumnukuu Baba wa TAifa Mwl. J.K. Nyerere akiongea na wafanyakazi katika sherehe za Siku ya Wafanyazi kitaifa mjini Mbeya 01/05/1995 katika uwanja wa Sokoine -...
Wasalaam
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia)
SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY 1800 square metres ,utaratibu wa hati uko hatua za mwisho,hakina mgogoro,kuna umeme na barabara ni...
Nakukumbushia tu ni Uhamiaji nao wamekurupuka.Mwaja Jana October Manji alijihudhuru kusimamia Quality Group. Tangazo kubwa aliweka kwa magazeti.nadhan hawasomi.mwajiri sio Manji.
Ameonyesha Uthubutu.Acha kukatisha tamaa,Toa Ushauri na Ushirikiano.Wanaoumia ni Vijana wetu na Taifa la kesho. Wengi wameshindwa ,Makonda Kaonyesha Njia
Mimi sio mshabiki wa Lowasa ,naomba tuache ushabiki usio wa kisomi.Ukisoma fomu hizo zina nembo ya 4U,Wadhamini wanaotafutwa na watia nia ni za CCM sio hizo zilizobandikwa hapo.Tusipotoshe ,Tuwe makini kuchambua habari.
Asante
Ndugu wana JF,nina imani kubwa jukwaa hili lina unganisha watu mablimbali wenye uwezo na vipaji vingi.pia ni njia /sehem muhimu kama kiungo cha jamiii.Kwa leo nina shida ya kumpata mtaalamu wa real estate ili tushauliane mambo mawili matatu katika fani hiyo.Natoa ombi kwa mwenye ujuzi katika...
Ndugu wana JF,nina imani kubwa jukwaa hili lina unganisha watu mablimbali wenye uwezo na vipaji vingi.pia ni njia /sehem muhimu kama kiungo cha jamiii.Kwa leo nina shida ya kumpata mtaalamu wa real estate ili tushauliane mambo mawili matatu katika fani hiyo.Natoa ombi kwa mwenye ujuzi katika...
nimefuatilia kwa makin malalamiko haya,kila wiki naona post inahuyu mbinga yaan DC na DED.
nimefanya utafiti na kugundua kuwa tatizo ni afisa elimu ambaye anafanyiwa ukaguzi kwa maagizo ya DED.afisa huyo kwa kuwa anajua kuwa ana madudu mengi japo DED alimvumilia sana kawahonga baadhi ya madiwan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.