Ukitaka kutumia referral kwanza ujisajili bure. Utumie referral hii RBV-00019 at Blockchain Valley kwa kujisajili. Mara umeshajisajili na KABLA ya kuendelea utapata namba yako ya pekee ya referral ndani ya "my account".
Tovuti zipo kwa English, Kifaransa na Kihispania. Mikataba (Purchase agreement) zinakuwa na KYC ya awali, na pesa zote ya ununuzi zitakaa kwa escrow, audited na Mamlaka wa Masoko wa Ufaransa (AMF) baada ya mwisho wa mauzo 23 July 2023. Tokens distribution itafanyika kadiri ya ratiba ya...
Our Linkedin is https://www.linkedin.com/company/blockchainvalley-bv/
Our main company is www.blockchaincompany.info (Linkedin https://www.linkedin.com/company/blockchaincompany/)
Our email is offering@4irtoken.com
Welcome to discuss (starlightz? where are you?)
Good day, fellows. In these times of technological change, whoever in business and white-collar jobs not aware of the incoming 4th Industrial Revolution and the Web3 issues is wasting time. These changes are bringing digital money, new approaches to technology and understanding of business...
Pamoja na yote, elimu na ujuzi zinahitajika sana. Kabla ya kupoteza pesa kwa sababu ya FOMO (Fear of Missing Out), inabidi kusoma au kuangalia sana tutorials ya kila aina kuhusu cryptocurrencies, NFTs na DeFi, pia podcasts za kila siku toka pande zote za Dunia kwa Youtube, Twitter, n.k...
Asante sana kwa wazo nzuri. Ila nimeamua nisiweke, kwa sababu maalum ya kimarketing. Serious people will DM, direct message, or PM personal Message. E-commerce in a mikakati mingi.
BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam.
Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali.
Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na themanini tu!
Usipoteze nafasi, ondoa umaskini.
Hatuuzi rejareja kwa sasa
Kwa Maelezo zaidi DM!
BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam.
Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali.
Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na themanini tu!
Usipoteze nafasi, ondoa umaskini.
Hatuuzi rejareja kwa sasa
Kwa Maelezo zaidi DM!
BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam.
Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali.
Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na 80 tu!
Usipoteze nafasi, ondoa umaskini.
Hatuuzi rejareja kwa sasa
Kwa Maelezo zaidi DM!
Huyu binti alikuwa rafiki ya karibu na binti zangu. Alikuwa mtu mzuri na mchapakazi, alikuwa na mawazo mengi kuhusu maisha yake ya baadaye na alikuwa anakaribishwa popote kwa ukarimu wake. Tunasikitika sana leo. Usalama wa eneo la UDSM ni dogo sana haswa wakati wa usiku, ingawa mwenyewe...
Mfumo wa Apartheid na ya ubaguzi wa rangi bahati nzuri umeisha. Lakini msema kweli....
Jamani, article hii inatokea kila mwaka, na kila mwaka wengi wanaamini kwamba ni ya kweli. SI YA KWELI. NI FEKI. Speech hii SI KWELI. Just google it plus fake.... Sitasema zaidi ya kwamba Internet ni kubwa...
Ndugu, ukitaka kuja España achana na Uhamiaji harm toka Libya au Morocco. NI hatari sana na Wengi wanakufa. Masharti ya Visa Spain ni Yale Yale ya Moja wa Ulaya, mana uwe na sababu ya msingi wa safari, uwe na mwenyeji, pesa ya kutosha mfukoni, na kadhalika. Watanzania wapo ingawa si wengi...
Asante bwana Katavi. Nasikia sana kwamba ni ngumu sana kuota. Nilikuwa nafikiri Morogoro pangekuwa pazuri, lakini naanza kuwaza kama kwamba pengine Njombe au Iringa pangefaa zaidi....
Habari zenu?
Nafanya utafiti kidogo kuhusu Lucerne au Alfalfa Tanzania na Kenya. Hapo Kenya naona wanalima alfalfa kwa ajili ya ng'ombe na mbuzi Zao. Tanzania sijapata Maelezo bora, zaidi ya kwamba wachache Arusha na Moshi wanalima kwa ajili ya mahitaji Yao binafsi, na mbegu ni adimu sana...
Madaba (sijui sehemu nyingine) unaanza kuandaa shamba Oktoba na unapanda Novemba. Unaweza kuvuna June au unaweza kuiacha mpaka Oktoba Novemba mwaka ujao, inategemea bei unaoikuta June, kama ni bei ya chini sana kama mwaka jana afadhali uiache ardhini kwanza. Lakini hata kwa bei ya chini bado...
Kwa uzoefu wangu kwa eka moja unahitaji si chini ya kg1,000 ya mbegu, afadhali kg 1,300. Na kama umelima vizuri na ardhi yako inakuwa nzuri na umepalilia ipasavyo unaweza kupata kati ka kg 6,000 mpaka 9,000 kawaida.
Ukiacha tena kwa ajili ya mbegu kg 1,300 utauza kg4,700 mpaka kg7,700 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.