Utawala huu wa awamu ya tano umekuwa utawala wa hovyo sana toka nchi hii kupata uhuru wake, ni utawala unaotoa haki kwa double standard sana
Wakati anaingia madarakani Rais Magufuli alianza kuvunja katiba na sheria za nchi kwa kupiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa (upinzani) maana...
Baada ya Tundu Lissu kuipinga ile ripoti ya pili ya madini maarufu ripoti ya makinikia ya Prof Osoro na kuiita uchafu wa kitaaluma, Rais wa Tanzania mh John Magufuli alinukuliwa na vyombo vya habari akitamka maneno ambayo aliona kuna mtu anakwamisha juhudi zake za kupambania rasilimali za nchi...
Tokea kushambuliwa kwa mh Lissu na watu tunaoambiwa kuwa 'wasiojulikana' japo wanajulikana kwa matamko na matendo yao walio mtendea baada ya kupigwa risasi
Lissu ni dhahabu iliyopitishwa kwenye tanuru la moto mkali, sasa ni dhahabu ing'aayo kweli kweli hata wale tunaoambiwa hawajulikani japo...
Historia ya Tundu Lissu katika kupigania misingi ya utawala bora yenye kuheshimu haki za binadamu ni kubwa sana katika nchi hii
Lissu ameanza kupigania maslahi ya nchi hii toka miaka ya 1990+ wakati huo watawala waliopo sasa wakiwa upande wa wanyonyaji wakitunga sheria mbovu za kunyonya taifa...
Baada ya shambulio la kutaka kumuua mh Lissu serikali kupitia Bunge ilimnyima haki yake ya matibabu.
Watanzania walioumizwa na shambulio lile baya kabisa walipanga kufanya maombi ya kitaifa dhidi ya mh Lissu, cha ajabu serikali kupitia Jeshi la Polisi ilipiga marufuku maombi hayo.
Watanzania...
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Jimbo la Tarime Vijijini umefanyika leo Tarime Mjini, Ajenda kuu ikiwa ni Uchaguzi wa ndani
Source: Mohonia Joseph
2020 John Walker out
Kuna hiki kipindi kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV kila Jumatano SAA 4 usiku kisemacho "WASEMAVYO VIONGOZI WAKUU WASTAAFU" kipindi hiki ni mahususi kupiga propaganda za kuaminisha Watanzania kuwa utawala huu wa awamu ya tano ni zaidi ya awamu zote zilizopita toka uhuru.
Kati ya...
Baada ya vuguvugu la siasa za vyama vingi 2010 - 2015 lililoogopesha watawala wasiopenda utawala bora unaozingatia misingi ya haki na usawa limefanya kuzalisha siasa mufilisi kabisa zilizokosa utu na ustaarabu wa kisiasa kutoka chama tawala kwa sababu ya hofu yao ya kuchokwa na wananchi...
"Kama kuna mtu anadhani anaweza kukiyumbisha chama hiki kwa fedha, ajitafakari upya! Viongozi wakuu wa chama hiki hawatayumbishwa kwa vitisho au fedha. Tunaongoza mapambano, kama kuna watu wanataka kusaliti mapambano haya kwa tamaa ya fedha, watoke haraka sana!" By Freeman Aikael Mbowe
"Mkurugenzi nimekuteua mimi gari nimekupa mimi, Mshahara nakulipa mimi, Nitakushangaa kumtangaza Mpinzani mshindi."- John Joseph Pombe Magufuli
Hii ndio kauli Rais aliwahi kutoa kwa Wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali nchini kama agizo kwao wakati akiwaapisha ambayo ni kinyume kabisa na hadhi...
Sisi kama Chama tawala nchi hii, Jamhuri ya wana LIZOMBE, tunaweza kununua madiwani na wabunge kutoka vyama vya upinzani, ili kuunga juhudi zetu mkono, tunawanunua, tunawapa fomu za kugombea tena walichokiacha, tunawasimamia wanashinda.
Tunaendelea KUBANA MATUMIZI.
Tunatumia 'mabilioni ya...
Viongozi wa kitaifa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mwenyekiti Freeman Mbowe, Katibu Mkuu Dr Vicente Mashinji na Mbunge wa Jimbo la Kawe Mh Halima Mdee wakihitimisha kampeni za kumnadi mgombea ubunge Jimbo la Ukonga kupitia Chadema dada Asia Msangi
Kwa umati huu ni salamu kwa...
Kwa hali ya kisiasa inavyoendelea hapa nchini ni ya kuogofya sana kwa wale wenye kulitakia mema taifa hili, CCM kwa hofu ya kukataliwa na wananchi wameua kufanya siasa za lolote liwalo na liwe lakini lazima wasalie madarakani, iwe kwa njia haramu ama halali
Kauli za viongozi mbalimbali wa CCM...
Hii picha ni ya tukio la leo kwenye upokeaji wa ndege mpya ya Atcl uwanja wa ndege wa Dar es salaam, ukiitazama hii picha unaona kabisa taifa hili linahitaji sana ukombozi wa fikra, leo hii kweli tunaenda kupokea ndege moja kwa umati mkubwa aina hii kama ndio tumepata uhuru mwaka jana toka kwa...
Rais Magufuli wakati wa kipindi cha kampeni uchaguzi mkuu 2015 aliwaahidi Watanzania mambo mengi sana ambayo kwa kiasi kubwa sana ameshindwa kuonesha njia za kuyatekeleza kwa vitendo zaidi ya kufanya propaganda za kisiasa kama bado yuko kwenye kampeni
Wakati wa kampeni 2015 aliahidi neema ya...
Msajili wa taasisi za kiraia na vyama vya hiari wa Wizara ya Mambo ya ndani Bi Merlin Komba, ambaye alisimamishwa kazi na Mwigulu Nchemba wiki chache zilizopita kufuatia msajili huyo kuandika barua kwa Kanisa la KKKT kutaka lifute waraka wake wa Pasaka, amerudishwa kazini
Waziri Mwigulu alisema...
Wajibu na majukumu ya mbunge kikatiba ni kutunga sheria, kuisimamia serikali na kuiwajibisha pale inapobidi
Wabunge wote bila kujali vyama vyao vya kisiasa majukumu yao kikatiba hayatofautini, hivyo ni aibu kubwa sana kuona wabunge wa chama tawala wanapogeuka kuwa sehemu ya serikali iliyoko...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu katika mtindo wa swali kutokana na taifa hili kuendelea kushuhudia mambo mengi ya kuogofya toka kuingia madarakani 2015 rais wangu John Magufuli.
Yako mambo mengi yanafikirisha sana akili kwa wenye kuongozwa na mitazamo ya haki na utu kwa watu wote...
Rais Magufuli katika utawala wake kwa namna anavyodili na vyama vya upinzani nchini ni dhahiri ameamua kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha nguvu ya vyama vya upinzani inafifia kama siyo kupotea kabisa, na hii ni dhahiri ameshindwa kupambana na vyama hivi kwa nguvu ya hoja na ameamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.