Yaani inasikitisha sana kama tuna viongozi wa polisi wanaotumika kisiasa,....ni aibu kubwa hawa polisi kushindwa kuona athari zozote mbele.
Hata huko tunakoona tawala zinaondolewa kwa nguvu ya umma haki za jamii husiku nilikuwa zinadhurumiwa bila watawala kujali kwa lolote.
Mwaka Jana Magufuli aliwadanganya Watanzania kuwa Shirika la Ndege lilipata faida ya bilioni 28.
Hivi huu ujasiri wa kudanganya wananchi wazi wazi kwa macho makavu anautoa wapi huyu Rais Magufuli.
Rais Magufuli simuamini tena takwimu zake.
Rais aliyevuruga usalama wa taifa lazima awe na ulinzi wa kutisha.
Haya maendeleo kila siku mbona huko kijijini hakuna maendeleleo, hali ni ngumu sana kuliko kipindi cha Jk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.