Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu A/C kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake...
Wakuu , kuna zile nafasi za kazi Shirika la Posta Walitangaza mwezi uliopita, na deadline ilikua tareh 27 June .Kuna yeyote mwenye Update ya chochote? kama waliisha itwa?,
Tusije kuwa tunasubiri kwenye Hamna jamani
Habari wakuu...
Nieende moja kwa moja , kama kichwa kinavyosema hapo.Leo nimepita hapa Mikumi. Katika kushangaa shangaa nikakumbuka bwana mmoja wa JF. Huyu bwana @K4life na story zake nyingi za majanga yake ya mikumi (hahahaahah:D:D:D:D:D:D)..yan huyu bwana matukio yoote ya ajabu alishuhudia...
Heshima kwenu wakuu.. nimekua nikiperuzi kwa muda mrefu lakini sikuwa nimejiregister. Nimeingia sasa kwa miguu yote.
Nimenishawishi sana watu mnajua vitu mpaka basi aisee. Amebarikiwa Preta FaizaFoxy intermediate mshana jr miss chagga Evelyn Salt ni weeeengi mno ..nimebarikiwa na mchango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.