Naomba kwenda moja kwa moja kwenye mada nataka kuanza hii biashara naomba mniambie upatikanaji wa mashine ya kukamulia miwa, soko la miwa linapatikana wap hapa dar es salaam pia changamoto ya hii biashara ni ipi ,,, pia kama una input yoyote naomba unishirikishe
Kuna mtu ameaaply wizara amesubmit kimakosa sasa kuna marekebisho anahitaj kufanya na kuongeza baadhi ya document akifanya hivo inagoma sababu alisha submit deadline tar 28 siaja namsaidiaje
Nb nimemshauri aende wizaran dodoma kabla ya hiyo deadline. Kama kua mwenye wazo anisaidie.
Naomben msaada wa taratibu za kufanya ili kurekebisha jina lililokosewa.
Yaan jina lililopo kwenye vyeti vyote ni tofauti na ilivyo kwenye Nida na cheti cha kuzaliwa. Majina yaliopo kwenye NIDA ni sawa na yale yaliokuepo kwenye cheti cha kuzaliwa ila ni tofauti na yale yaliokuepo kwenye vyeti...
Aseeh naimben msaada simu tecno camon 12
Mtu akipiga anaajulishwa kwamba namba ipo busy na huku unakuta missedcall tu yan nimejaribu mbinu nying ila naona nimefika ukomo wakubwa na wataalamu wa hiz kaz naomben msaada
Dah! Mazoea hujenga tabia yaani nilishajizoesha kuendesha gari na mkono mmoja leo nimejaribu kushika usukani kwa mikono miwil bado kidogo nifanye blanda dahhh
Hivi ni mimi tu nimekuwa hivi?
Naombeni kueleweshwa ni kwa namna gan AC ya gari inatumia mafuta.
Mfano nikiwa nimeweka gari on bila kuliwasha kabisa alafu nikawasha AC mafuta yanatumika?
Aseeh lain yangu ya Halotel imegoma ghafla kusoma kwenye simu both smartphone na kitochi
Je, hili tatizo ni kwangu tu au kuna aliepata shida kama yangu?
Hivi vitu vinanichanganya sana mwenye uelewa naomba anisaidie maana kuna jamaa yangu tulisajili line za Airtel siku moja yeye kwenye simu yake inaandika lte kwangu inaandika 4G
Simu anayotumia ni Samsung S8 Plus, mimi natumia Galaxy Note 9
Huwa nikiamka asubuh kujiandaa kwenda job nawashaga redio na connect bluetooth nasikiliza music huku najiandaa
Leo nimesahau kuswitch off redio nikaacha bluetooth on
Nipo kazini naona majiran zangu wawili wote wananitafuta kila mmoja kwa muda wake wakinambia nizime redio nasumbua na vitu...
Naomba kusaidiwa kufungua vivo account nimefata step zote ila tatizo lipo kweny code nimenitahid kutafuta code zetu za tanzania ila wap hazipo naomben msaada wataalamu wa kazi
Hii ni kwa wale wanaotumia fmwhatsaap, yowhatsaap, gbwhatsaap na nyingine kama hizi ila sio kwa wale wanaotumia whatsaap ya kawaida
Fungua whatsaap yako then click kwenye vidot vitatu unavyo viona kwa juu then utaclick option inayoitwa
FOUAD MODS then utaclick
HOMESCREEN then utaclick...
Mm kiukwel sina style maalum
Yan najikuta nishakaa kwenye kiti kinyoz akiniuliza sina chakumjib
Ebu weken style zenu zakunyoa na majina yake aseeh ili na sisi tupendeze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaejua namna ya kufanya hii s pen i connect mweny simu naomba msaada yaaan ni kwamba inafanya kazi kama kawaida ina sense vizur na kila kitu kipo sawa isipokuwa hilo la kucconect maana isipo conect kweny simu kunabaadhi ya mambo siwez yafanya
naomben msaada wakuu wa kaz.
Sent using Jamii...
Hivi kunatatizo kuchaj simu hata kama haijaisha chaj mfano umeiweka chaj ikajaa then ukaitumia ikafika kama 64% then ukairidisha chaj tena kuna shida hapo je?
Hili linaweza ua betri?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.