Habari za jioni Wadau, Wakubwa shikamooni.
Natumaini nipo jukwaa sahihi kabisa kama nimekosea naomba iamishwe jukwaa. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Natumaini kuna watu waliopita kwenye stage hiyo wakafika mbali zaidi.
Kwa kipato cha milioni moja kwa mwezi unawezaje kujipanga...
Tafuteni pesa . Kumtunza mama yenu bei gani kwani ndio unahisi hamutoendelea .
Haupungikiwi kwa ajili ya kutoa.
Mwambieni mama pesa ya kupanga tunayo
Kupanga sio kupoteza pesa ila tunapqnga tupate changamoto za kimaisha zaidi ile tuweze songa mbele sio sababu ya kupoteza pesa.
Ikkiwezekana cheti chako kiache tu mkoani ..we njoo na akili yako ..Ingia kariakoo ungana na wachuuzi wadogo wadogo ,kulala njaa mchongoma usiogope kutapeliwa kuishiwa kabisa, kuama chimbo nenda mbagala ungana na watu wa kusini wale fanya uchuuzi mdogo mdogo ,miezi 6 tu ushamasta mji.
Acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.